Mkuu ongeza nyama hapo kwenye reptilian family na uvumbuzi wa teknolojia, hao reptilian family ni kina nani? Na hiyo teknolojia kwanini iwe Nevada tu na sio sehemu nyingine duniani?.
Wanawake wa West Africa wanaamini hivyo na hufanya kwa watoto wao tangu wakiwa wadogo kabisa kiumri, nimekutana na zaidi ya mabinti 5 wa West Africa wote wanadai ni kweli inasaidia kumfanya mwanamke kuwa na shepu nzuri. Kiasi nikaamini kuwa labda ni kweli kutokana na kuwa na wanawake wengi wenye...
Wimbo mzuri sana, mtoa mada una matatizo sana. Hao viongozi wako wakitaka kukuibia hawaoni aibu na wala hawana hiyo staha ambayo umemtaka Ney wa mitego kuionyesha mbele zao. Jamaa sio mnafiki kaongea ukweli sioni shida unless uwe hupendi kuambiwa ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.