Ko ulifurahia vyet feki kuwa na ajira na kutohudumia watu Kwa ufanisi coz hakuna professional ili halal wenye vyet orgnal na wasomi wapo tu wamekaaa??? Matango nyanya kbsa ww,, sijuw na familia yako unaileaje,, tupo weng matajili na wasomi na still tulimpenda magu,,, yule ni mwamba...
Sema ulieandika ni ke,, ungekuwa me,, ningekwambia neno gumu sana,,, ulitaka baba afanyeje Sasa ambembeleze be kutoa password? Haya Uzi wako unaonesha kabsa ww ni Nan na unataka wtt wetu tuswapige Bali tusupot huo ushetan,,,
Mkuu uwe tu na uvumiliv ila anakupenda anataka ajuwe atention yako,,, endelea kumbemneleza tu ipo sik utamula,, kubwa mjali kile atakacho na uwe nae mara Kwa mara,, mwambie makusud yako ni nn kwake hasa upatapo mda wa kuwa nae,,,, muonyeshe unampenda na kumjali,, mwambie hutaki kumtoa bkra Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.