Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,594
- 17,718
Jamaa ni mpumbavu ana dhani USA ni munguHuko USA kwani nuclear haifiki?
Jamaa ni mpumbavu ana dhani USA ni munguHuko USA kwani nuclear haifiki?
Kazi ya bomu ni kuvunja vunja uchumi wakati wa vita kubwa tena kwa nchi zenye nguvu usijidanganye na uchumi uliokuwa nao kabla ya vita ....maana vita vikianza wote mnakuwa mafukara ndiyo mnatafuta mshindiUchumi wa Russia ni 1.8 trillion usd GDP, uchumi wa NATO ni zaidi ya trillion 45 usd GDP. Mambo mengine ni kufurahisha baraza tu
Marekani kashindwa na wavaa kobazi wa taribani ....ukrain anapewa silaha za kisasa na nyingi hadi ghara za nato kukauka unasema nini ...Sasa ni nani kama Russia hata Ukraine tu amemshinda hadi vita vimeingia mwaka wa tatu na kumbuka ameleta hadi wafungwa kupigana..
Bushi angekuwepo angefanyaje?Putin ana matatizo ya kisaikolojia sana. Kila akilala huota zile enzi za Soviet Union wakati Urusi ilikuwa ni taifa linaloogopwa. Ile vita harama aliyoanzisha Bush dhidi ya Iraki ambapo alijaribu kuwa mmoja wa viongozi wa dunia kutoa maoni yake lakini akapuuzwa, jambo ambalo halikuwa linafanyika enzi za Soviet Union lilimchoma sana moyo hadi leo hii. Hata vita yake ya kuvamia Ukraine kwa madai ya ku-"demilitarize and denazify" aliijenga kwa kuiga uvamizi wa Bush Iraq aliosema lengo lilikuwa ni ku-"disarm and debathify." Ana bahati sana Marekani leo inaongozwa na mtu anayependa sana diplomacy; angefanya hivyo enzi za Bush (baba na mwana) au Reagan, Urusi ingekuwa matatizoni sana sasa hivi.
Tafuta hela kaka,,,, umeshajua na utajili wao? Daaa wabongo bana,,, sijuw hatunaga Kaz za kufanya!!!Uchumi wa Russia ni 1.8 trillion usd GDP, uchumi wa NATO ni zaidi ya trillion 45 usd GDP. Mambo mengine ni kufurahisha baraza tu
Malengo yalishatimia demilitarization na de nazification! Kilichobaki Ukraine inategemea misaada ya kijeshi kutoka US n Washirika wake!Sasa ni nani kama Russia hata Ukraine tu amemshinda hadi vita vimeingia mwaka wa tatu na kumbuka ameleta hadi wafungwa kupigana..😲😲
Kuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni
Russia hana Ubavu wa kupambana na uingereza. Wale wazeee Javelin, yale madude yaliyosambaratisha ule msafara wa vifaruKuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
Ila uingereza ana ubavu wa kupambana na Russia siyo?Russia hana Ubavu wa kupambana na uingereza. Wale wazeee Javelin, yale madude yaliyosambaratisha ule msafara wa vifaru
Hana tena kitu huyu anajikaza kisabuni tu, alisema nchi itakayoisaidia Ukraine silaha ataanza naye vita kubwa akafuia, akasema Finland wakijiunga na NATO atashambulia kitovu cha ulaya akafua, akasema vita ya Ukraine ataimaliza kwa saa 72 akafuia, Akasema Ukraine wakijiunga EU ataanzisha vita ya nuclear akafuia, akasema Ukraine wakijaribu tu kuomba kujiunga na NATO ataanza vita ya nuclear akafuia, huo ujumbe kwamba NATO isiingie vitani anautoa kwa woga sana anaomba iwe hivyo hivyo mana russia litabaki vumbi tupu,Urusi ameshatangaza sasa tusubiri kama NATO wataingiza vikosi vyao Ukraine kama walivyosema.
BREAKING:
Russia will go to war with NATO if troops are deployed to Ukraine, says the Kremlin.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Russia kama ni muhuni angezisambaratisha soko la silaha za Himars lakini mpaka leo zinamtesa wanauliwa kama kukuViva Rusia
Sasa mkuu vita na Taifa la Ukraine tu limechukua sasa 3 years almost Putin hajatoboa, na hapo kabla mulikuwa munasema humu kwamna vita ya Ukraine na NATO wako ndani, mbona leo Putini anakiri NATO wako nje na kwamba wakiingia na yeye ataanzisha vita NATO,Unamsifia sana USA. Na kama unasema USA anaweza mpiga RUSSIA na yumo ndani ya NATO kwa nini NATO wasiweze kumpiga Russia?
Amini nakwambia Hakuna taifa lolote ndani ya NATO linaweza kushinda vita dhidi ya Russia. Hata wakiungana as NATO hawawezi.
Kwanza hiyo NATO yao ilianzishwa baada ya kutambua RUSSIA kawazidi na hawamuwezi.
Kwenye vita vya movie uwenda ndo NATO watashinda na propaganda
Kwamba miji ya USA haiwezi kuunguzwa na Sihala za Nyuklia siyo!! na kwamba USA siyo Sehemu ya NATO siyo! hatari kweli kweli. Mahaba yaliyipotiliza siyo mazuri hata siku moja.Kuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
Nayayeye kipigo cha paka mwizi kina muhusuWewe nae,Sasa USA na yeye si ni mwanachama wa NATO. Ukisema NATO maana yake na USA yupo ndani yake.
biden ndo anapenda diplomacy?Putin ana matatizo ya kisaikolojia sana. Kila akilala huota zile enzi za Soviet Union wakati Urusi ilikuwa ni taifa linaloogopwa. Ile vita harama aliyoanzisha Bush dhidi ya Iraki ambapo alijaribu kuwa mmoja wa viongozi wa dunia kutoa maoni yake lakini akapuuzwa, jambo ambalo halikuwa linafanyika enzi za Soviet Union lilimchoma sana moyo hadi leo hii. Hata vita yake ya kuvamia Ukraine kwa madai ya ku-"demilitarize and denazify" aliijenga kwa kuiga uvamizi wa Bush Iraq aliosema lengo lilikuwa ni ku-"disarm and debathify." Ana bahati sana Marekani leo inaongozwa na mtu anayependa sana diplomacy; angefanya hivyo enzi za Bush (baba na mwana) au Reagan, Urusi ingekuwa matatizoni sana sasa hivi.
huna akili Urusi angekua dhaifu hao nato wangekua washaingia hadi moscow sahivHana tena kitu huyu anajikaza kisabuni tu, alisema nchi itakayoisaidia Ukraine silaha ataanza naye vita kubwa akafuia, akasema Finland wakijiunga na NATO atashambulia kitovu cha ulaya akafua, akasema vita ya Ukraine ataimaliza kwa saa 72 akafuia, Akasema Ukraine wakijiunga EU ataanzisha vita ya nuclear akafuia, akasema Ukraine wakijaribu tu kuomba kujiunga na NATO ataanza vita ya nuclear akafuia, huo ujumbe kwamba NATO isiingie vitani anautoa kwa woga sana anaomba iwe hivyo hivyo mana russia litabaki vumbi tupu,
Sasa kama vita na Taifa la Ukraine tu amefika hapa alipo sasa unaingia mwaka wa 3 hajafanikiwa kumsimamisha kibaraka wake Kyiv, atakujaweza vipi vita na nchi 32 za NATO ata kwa dakika moja tu kama NATO wataamua kungiza majeshi yao???
Putin aliishi kwa kujigamba sana na US walikuwa na hofu naye kabla ya vita ya Ukraine lakini sasa jamaa wanamjua mpaka anapolala ni dhaifu kuliko hata Uganda na Ruwanda. vita ya ardhini Ukraine tu imemtoa mavi ameamua kutoka Kyiv na kurudi zake bahari nyeusi hadi leo hii ataweza vipi vita kenge huyu na NATO? Ni huruma za US tu kupata lawama kwa kulisambaratisha taifa la russia lakini naamini NATO wanatafuta mazingira mazuri zaidi ili wakimshughulikia isionekane kaonewa ndicho kilichopo tu.
Israel, USA, GERMAN, UK, FRANCE WAMECHUKUA MIEZI MINGAPI KUPIGANA NA HAMAS ambao hawana kifaru/ndge hata kimoja?Sasa mkuu vita na Taifa la Ukraine tu limechukua sasa 3 years almost Putin hajatoboa, na hapo kabla mulikuwa munasema humu kwamna vita ya Ukraine na NATO wako ndani, mbona leo Putini anakiri NATO wako nje na kwamba wakiingia na yeye ataanzisha vita NATO,
Hizi ni kauli woga kwa Putin, Ukraine peke yake Zelensky anahitaji muda mdogo tu kushinda vita dhidi ya Russia vipi Putin ataweza pambana na mataifa 32 ata kwa dakika 1 tu?? vita ni sayansi putin amefeli 100%, NATO saivi ni wawo tu kuamua kummaliza huyu jamaa lakini wameona kwanza wamdhalilishe kiuchumi putin hana kitu tena anaazima silaha kutoka korea jeshi lake karibu nusu limeenda na maji
Russia ni msumali wa moto kwa NATORussia kama ni muhuni angezisambaratisha soko la silaha za Himars lakini mpaka leo zinamtesa wanauliwa kama kuku
Finland kajiunga kama ajajiunga tu. Mwanaume alishawambia wajiunge tu lakini NATO base na kulundika silaha za NATO hapo Finland ni marufukuHana tena kitu huyu anajikaza kisabuni tu, alisema nchi itakayoisaidia Ukraine silaha ataanza naye vita kubwa akafuia, akasema Finland wakijiunga na NATO atashambulia kitovu cha ulaya akafua, akasema vita ya Ukraine ataimaliza kwa saa 72 akafuia, Akasema Ukraine wakijiunga EU ataanzisha vita ya nuclear akafuia, akasema Ukraine wakijaribu tu kuomba kujiunga na NATO ataanza vita ya nuclear akafuia, huo ujumbe kwamba NATO isiingie vitani anautoa kwa woga sana anaomba iwe hivyo hivyo mana russia litabaki vumbi tupu,
Sasa kama vita na Taifa la Ukraine tu amefika hapa alipo sasa unaingia mwaka wa 3 hajafanikiwa kumsimamisha kibaraka wake Kyiv, atakujaweza vipi vita na nchi 32 za NATO ata kwa dakika moja tu kama NATO wataamua kungiza majeshi yao???
Putin aliishi kwa kujigamba sana na US walikuwa na hofu naye kabla ya vita ya Ukraine lakini sasa jamaa wanamjua mpaka anapolala ni dhaifu kuliko hata Uganda na Ruwanda. vita ya ardhini Ukraine tu imemtoa mavi ameamua kutoka Kyiv na kurudi zake bahari nyeusi hadi leo hii ataweza vipi vita kenge huyu na NATO? Ni huruma za US tu kupata lawama kwa kulisambaratisha taifa la russia lakini naamini NATO wanatafuta mazingira mazuri zaidi ili wakimshughulikia isionekane kaonewa ndicho kilichopo tu.
Mwanaume kaishaunguruma, sasa ni zamu ya wanawake kutingisha matakoUrusi ameshatangaza sasa tusubiri kama NATO wataingiza vikosi vyao Ukraine kama walivyosema.
BREAKING:
Russia will go to war with NATO if troops are deployed to Ukraine, says the Kremlin.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app