Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).
Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa...
Nyinyi endeleeni kukesha kwenye mitandao kumponda, mwenzenu anaendelea kula dollar ...
Atoke wapi aende wapi sio ishu, watu wanaangalia pesa .
Mnaoponda subirini siku akikosa timu ulaya ... Fenerbance ni timu ina historian kubwa ulaya tena uenda zaidi ya Astonvilla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.