na kadi pia inabidi ubadilishiwe upatiwe smart card kama unayo ya zamani,
jamaa kwa kweli ni matata sana, kabrasha zako zikiwa sawa unaambiwa urudi baada ya wiki mbili waverify hizo kabrasha zako kama zipo sawa unapewa siku 21 ndio uje kuchukua cheki yako,
mimi nimeacha kazi september mpaka leo...
Slaa ni mdini hebu someni post ya kwanza, dogo umejisahau umemwaga mchele kwenye jamvi,Sunzu udini haufai utaipeleka nchi pabaya, Chadema iteue mgombea mwengine na sio Slaa mwizi wa wake za watu na mdini,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.