Tunashindwa kutambua ssi tunawaitaji kuliko wanavotuitaji... No matter what you call them... That fact wont change.. Ni vzuri tukawaskiliza... They have too much power
wewe ndo una poor thinking!! unatambua matairi ya magari ni kutoka na rubber plant, kamaba za lift na parts za magari ni sisal, unajua bei ya soya beans kwenye soko la dunia wewe, unajua canada wanaingiza shingapi kwenye timber exports.....
acha kukariri...kilimo sio matikiti na nyanya
its more physchological, kama vitabu vimekosewa, hao wanaopata 100 wasingekuepo na kushinda tuzo za additional maths and such ... watu wanakaririshwa na kuaminishwa hesabu ni ngumu hivyo kutoitilia mkazo na kutojali akifeli.
hahahaha,..wewe ndo umekurupuka...
njia moja yakuhamsaisha ujenzi wa viwanda ni through introducing capital allowances to assets purchased for factory purposes.. njia ingne ni kukubaliana na wawawekezaji kutolipa kodi ama kupunguziwa..e g instead of paying 30% corporate tax inaambiwa ilipe lets...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.