Wewe unatumiwa na nani? vijana tuache kuwa daraja la wanasiasa...kwan cc ndo tunapata shida ya kujenga chama huku wilayani kwa hiyo penye kasoro lzm tuhoji.
Hajakwambia yy ni ccm wala chama gani anachotaka yy ni majib ya maswali yake, cdm bwana tumeaminishwa vibaya na viongoz wa taifa mtu akiuliza au kuhoji kitu kinachogusa masilahi yao utaambiwa msaliti, hilo hata mm limenitokea mara nying nikihoj jambo ktk kikao naambiwa mpambe wa zito, je kwa...
Acha siasa chafu mtu akihama cdm na kujiunga na chama kingine cha siasa mnasema msaliti mbona mtu akitoka ccm,cuf,nccr,nld,tlp akijiunga cdm hamsemi msaliti? msaliti ni yule anayehama chama pinzani na kujiunga ccm huyo ndo hafai kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.