Recent content by chicks

  1. C

    Is this normal?

    Pole,mwanzoni ilikuwaje;je.unahisi kwamba ana mtu wmingine?
  2. C

    Kozi gani rahisi kusoma pale open university?

    Watanzania tunapenda virahisi na kudimandi salary kubwa.Kozi uliyochagua sio ngumu sana lakini inategemea uko wapi ndugu yangu.juhudi binafusi mi nafikiri zinaweza kukufikisha sehemu unayo hitaji wewe.kaza buti.
  3. C

    Hodi wana JF.

    nakushukuru sana ndugu kimori kwa kuniona wa kwanza.
  4. C

    Hodi wana JF.

    kuhusu Deci,serikari ilikuwa na lengo gani kusitisha na kutoana hadi kwa wanachama kwamba watarudishiwa mbegu zao.
  5. C

    Hodi wana JF.

    Nimekuwa nikisoma habari zenu,nimeona ni vema nikawajoini tuko wote kuanzia sasa.
Back
Top Bottom