Ndugu wanaukumbi,
Nikiwa kama mwanafalsafa na mchambuzi wa masuala ya kitaifa, mwenye uchungu na taifa hili, nimesikitika sana kuona viongozi wa kisiasa hapa TZ wamekosa dira na kuamua kutumia njia za 'shortcut' ikiwa ni dhana waliyojijengea kufikia makusudio yao.
Katika kufikia mafanikio ya...
ni haramu haramu haramu tena haramu kufanya mapenzi wakati mwanamke yuko katika hedhi. Huu ni uchafu. Inatakiwa asubiri mpaka atakapo kuwa safi. Na hayo madawa unayosema japokuwa yatampunguzia maumivu lakini yatamletea madhara makubwa ikiwemo kansa.
CHADEMA chama cha vurugu, pamoja na kuwa wachagga wamepewa nafasi kubwa nchi hii katika mataasisi nyeti kama bandari na TRA, bado sijui wanataka nini zaidi. Sasa waingie msituni waone tutakavyowachakaza.
Wakuu jana tulikwenda ardhi kulipia shamba letu tukaambiwa tulipie 5000/= kwa kila heka, eti ni sheria mpya ya huyu mama tibaijuka. Hivi ni kweli tunataka kuibiwa? Naomba anayejua atujuze kama kuna mabadiliko haya.
Katika tafiti binafsi ambayo nakaribia kuimaliza ndani ya mwezi imeonyesha kuwa hali ya kukubalika kwa cdm katika mikoa ya pwani na pembezoni mwa nchi sio nzuri. Hii inahusisha mikoa ya kagera, kigoma, rukwa, mtwara, lindi, tanga, pwani, na arusha.
Chadema imeonyesha nguvu katika mikoa ya...
Wasije wakawa kama hawa Viongozi wa chadema wa matawi maalum ya vyuo vikuu mbalimbali vya tanzania
(i) University of Dodoma maarufu kama UDOM ni ELISANTE MUSHI.
(ii) Chuo Kishiriki cha MWENGE ni JAMES KIMARO.
(iii) Sokoine University of Agriculture (SUA) ni JOHN KIMARIO.
(iv) Chuo Kishiriki...
Uwezo wake Nassari ni mdogo. Sijui kama ataweza kutekeleza ahadi. Wabunge wengi wa cdm wameshindwa kazi. Angalia mfano majimbo ya kawe na ubungo. Uozo mtupu hakuna maji, foleni za magari, nk. Angalau ZK amefanya kazi ya kuonekana.
Hatimaye pamoja na kuchukua viti vingi vya udiwani sehemu mbalimbali tanzania kwenye chaguzi ndogo, chama cha CUF kimetabiriwa makubwa hasa kutokana na hazina ya uongozi makini wa profesa wa uchumi (Lipumba) na kiongozi makini (Maalim Seif).
Kwa kuwa kimeshafanikiwa kuingia serikalini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.