wapi huko Chadema wameua?Regardless of the source ya hii habari..inabidi tukubaliane kuwa..chadema wamekuwa chanzo cha vurugu na vifo vingi vya watu wasio na hatia
Kweli hawawezi kuchanganya kila mada inayohusu IgungaMod, mmeunganisha thread nyingi mpaka zinaboa kusoma, maana zimejichanganya, hakuna hata mtiririko mzuri.
Nyie si mlitaka UHURU isifie CDM ndio lionekane gazeti la maana, wamesema ukweli kabisa. CDM ni chama cha wahuni na wavuta bangi.
wapi huko Chadema wameua?
Regardless of the source ya hii habari..inabidi tukubaliane kuwa..chadema wamekuwa chanzo cha vurugu na vifo vingi vya watu wasio na hatia
Mod, mmeunganisha thread nyingi mpaka zinaboa kusoma, maana zimejichanganya, hakuna hata mtiririko mzuri.
kanywe uji ukavishwe nepi.maandamano na fujo tu..wajimwage damu zao wenyewe hao...hatuwataki..