Nina gari yangu Pajero mini dash board inaonyesha Ile sign ya battery/AT na nimeprove alternator haifanyi kazi maana nikichaji battery gari inatembea mpaka battery inaisha kabisa
Sasa wataalam ninachotaka kufahamu
hivi altenetor inafanyiwaga repaire ? Au ninunue mpya tu
S 400 hapo Syria haipo activated kutungua ndege za Israel ila kulinda Kambi za Russia na hizo ndege za Israel hazifiki maeneo hayo kama zinaweza zikaangushe bomu kwenye maeneo alipo mrusi, ndio maana mrusi yupo hapo Syria ila Israel hajawahi kuua mrusi hata mmoja
Upeo wako mdogo, vita ya Sasa imekaa kiuchumi na sio kuuwana
Iran anatuma drone yenye thamani ya 1500$ wewe unaitungua Kwa kombola lenye uthamani wa 2 million $ Sasa zidisha mara 300
Yaani Kwa fikra zako ulitaka lirushwe Bomu lenye thamani ya $2m Ili kubomoa nyumba hapo telviv na kuuwa watu...
Ni mapato ya halmashauri yaani hivi vikodi Kodi vinavyokusanya na halmashauri kama parking, utoaji wa vibali mbalimbali, Kodi za ziliochini ya halmashauri mfano za mazao na mifugo
Vita ni hesabu anachokifanya Irani no kutia hasara yeye anarusha kadrone thamani ya 2000$ wewe unakitungua Kwa missile yenye thamani ya 2 million dollar
Usichokijua ni kuwa sehemu kubwa ya waajiliwa ni bendera fuata upepo na hawaishi Kwa kutumia akili na awana uzoefu wa maswala ya pesa hivyo hili ndilo kundi kubwa linaloigiza maisha, mtu kamshahara chini ya 1 million anakopa bank anunue gari huku uhakika wa mafuta hana, anajibana kupeleka mtoto...
Kwenye droo ya chini hapo seat ya abiria toa hiyo droo toa na chekeche washa ac kelele itakuwa inatoka hapo huwenda ulipaki sehemu panya wakaingiza kitu au blower imelegea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.