Serikali imehamia dom kumbuka,na ilihamia na masanduku yote,jumlisha vitanda,majiko na takataka zote,siyo mwenzetu yule.Promising wa kitu gani wakati Dom imefika hapo from zero to second place?
Ni mapato ya halmashauri yaani hivi vikodi Kodi vinavyokusanya na halmashauri kama parking, utoaji wa vibali mbalimbali, Kodi za ziliochini ya halmashauri mfano za mazao na mifugoHayo mapato sijayaelewa. Ni jumla ya mapato ya mkoa mzima kwa mwaka kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato ama vip.
Hilo pato la DSM linajumuisha hadi bandari au ni namna gani.
Kwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Dodoma naona inazidi kuja kasi cc ILAN RAMONKwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Ndugu zetu wahaya hatimaye wamejikongoja,kuingia top 10Kwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Wakimaliza kuuza viwanja watarudi huko huko zero.Promising wa kitu gani wakati Dom imefika hapo from zero to second place?
Mkuu unataka kulinganisha na California au Texas amazing kama zingekuwa nchi zingekuwa za nne na tano baada ya US, China, na Japan/German?Ni kujipa moyo tu na hizi takwimu lakini Tanzania ni Nchi yenye umasikini uliokithiri duniani.
Components Yao ya Fedha za viwanja ni wastani wa Bilioni 18,Sasa sijui watamaliza lini wakati Watu Wanazidi kuhamia na kujenga hapo Jijini.Wakimaliza kuuza viwanja watarudi huko huko zero.
Kazi nzuri ya Samia kufungua Uchumi.Ndugu zetu wahaya hatimaye wamejikongoja,kuingia top 10
Sasa masanduku ya Serikali yanhusikaje na makusanyo ya Jiji?Serikali imehamia dom kumbuka,na ilihamia na masanduku yote,jumlisha vitanda,majiko na takataka zote,siyo mwenzetu yule.
Ndio ni Jumla ya Mapato Kwa Mkoa mzima ila Kwa vyanzo vinavyosimamiwa na Halmashauri tuu.Hayo mapato sijayaelewa. Ni jumla ya mapato ya mkoa mzima kwa mwaka kutoka katika vyanzo vyake vyote vya mapato ama vip.
Hilo pato la DSM linajumuisha hadi bandari au ni namna gani.
WaTz tunanyonywa na kukamuliwa hasa, huku tozo za jiji, kule kodi. Wajanja wanaziponda tu!Kwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Wenye nchi wakiangalia hayo mabilioni, wanachoona na kuchekelea ni magari mapya!Kwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Sio Tzn tuu ni Dunia nzimaWaTz tunanyonywa na kukamuliwa hasa, huku tozo za jiji, kule kodi. Wajanja wanaziponda tu!
Tulishakubali Kagera ni maskini ya kutupwa. Sasa huku inatoka wap tenaKwa mujibu wa takwimu kutoka kwenye viambata vya Bajeti ya Tamisemi 2024/2025,Ifuatayo ndio Mikoa 10 yenye Mapato mengi Tanzania Kupitia Halmashauri zake.Namba ziko kwenye Billions Tanzania Shilings.
1. Dar es Salaam =240.821 bln
2. Dodoma=60.998 bln
3. Arusha=56.868 bln
4. Mwanza=50.732 bln
5. Pwani=50.537 bln
6. Mbeya=49.182 bln
7. Morogoro=44.862 bln
8. Tanga=38.279 bln
9. Kagera=34.477 bln
10. Geita=30.897 bln
Mikoa ya mwisho ni
Pia soma Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania
- Rukwa(10.315 bln)
- Simiyu(15.386 bln)
- Kigoma(16.061 bln)
- Singida(18.334 bln)
- Katavi(18.707 bln)
My Take
Mikoa hiyo 10 ndio huongoza kwenye top 10 Makusanyo ya TRA isipokuwa Mbeya na Geita.
Mkoa ambao Huchukua nafasi ya Mbeya kwenye List ya TRA ni Songwe na Mara.
Mama amefungua Nchi na makusanyo yanaongezeka.Hongera sana wachapa kazi wote.
Ona aibu yaani bil.34 ndio unashangilia? 🤣🤣🤣Tulishakubali Kagera ni maskini ya kutupwa. Sasa huku inatoka wap tena
Nimesikia mmoja wa bodi ya halimashauri wanaogopa kudai kodi.Yaan mkoa mzima unakusanya bilion 10 kwa mwaka huo mkoa haufai kuishi aisee n wa kimaskin izo dar si wanakusanya week 2
Andika vizuri uelewekeNimesikia mmoja wa bodi ya halimashauri wanaogopq kudai kodi kwa watu wengi wanaogopa eti.