Binafsi nadhani bidhaa zinazopaswa kupigwa marufuku (ban) ni bidhaa za ubora mdogo mfano viatu vya wanawake ni aibu tupu, toy za watoto huwa naumia nikizikuta mtaani
Binafsi napenda sana kugawa nguo&viatu, especially kwa Ndugua, huwa sipendi kuwa na nguo nyingi na kuvaa nguo kwa muda mrefu hivyo baada ya muda huwa nazigawa muda mwingine nazituma kijijini.
Kuna wahitaji wengi sana wa hizi nguo tunazozifungia kwenye makabati bila kuvaa, nilianza kugawa nguo...
The miz akili mingi inabidi tukubali hilo, lile pambano lilihitaji ushindi siyo kupiga ndio maana MIZ anaenda kugombania money in Bank anamuacha Jeff, na ukumbuke Jeff tangu amerudi amekuwa akishnda ila kwa miz amezidiwa ujanja.
Ebu na Mimi nicoment kidogo, ukweli ni kwamba wakenya wapo juu in term of infrastructure za majiji makubwa kama Nairobi, Mombasa na kisumu huko kote nimefika ukilinganisha na dar, arusha na mwanza, hawa jamaa ni mabepari by nature ndio maana ni kitu cha kawaida kukuta magorofa kijijini kitu tz...
Paka ndio mnyama pekee anaefaidi, na kutumia Mali za mmiliki ipasavyo kuanzia sofa, fridge, na kitanda, wakati upo kazini yeye amekaa home kwenye sofa anachapa usingizi akichoka anaenda kupata joto la fridge,
Ila kusema kweli paka ni msafi na anajipenda kuliko maelezo, ameumbiwa starehe.
Dah John kaduma bonge la mchoraji nakumbuka katuni yake amemchora mzungu anakula ugali na mlenda, Jamaaa ameinama kwenye kiti Kama anadondokea kiti alichokalia
Mpaka mdogo wangu alibandika ukutani tukifka tunatania,
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana nimesoma Uzi wote, ninejifunza kitu, ila ifike kipindi baadhi ya watu wabadilike kuna watu kazi yao ni kuponda tuu liwe jema ama baya young blood endelea kutupa maujanja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.