na wale wafanya mazoez kwa ajili ya kulinda amani wanatutisha mtaani wapo wapi. haha kwel kisu huliwa na kutu binadam huliwa na mtu. this country need diplomatic and wiser leaders
mmeipenda wenyewe!, waacheni waandamane eee. shauri yao fisiem mbele kwa mbele. acheni niongee ukweli jamani kama ulishawahi bahatika kwenda nchi za wenzentu afrika hii hii mfano mzuri bondeni kwa madiba utagundua nchi yetu haiwajali kabisa wananchi wake leo hii acha nilitoe moyoni hili jambo...
inategemea na mfanya kazi mwenyewe mkuu. mtu analipwa 2M na amefnya kazi 3yrs the same time amejenga nyumba ya 150M bunju jiulize sasa apo ndo utajipatia jibu la swali lako
mungu wng. kumbe tupo wengi bila shaka utakuwa umesoma cbe.mimi kma ww dada ajira ngumu napambana. cha msingi usichague kazi ukipata we fanya tuu hata kma haina maslahi kiivyo kwan ndo unajitengenezea connection nzuri ya kujipatia ajira nzuri. usikate tamaa marufuku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.