Huyu mtoa post Ni mpumbavu kweli kweli, yeye alitegemea hivi vyama vife kwa kukosa pesa ya kuviendesha maana CCM hawaamini kama kuna maisha bila wizi au misaada, sasa anapoona vyama hivi vinasonga mbele bila wizi na misaada, akili take inashindwa kabisa kupokea, Wamesha jengwa kwenye misingi ya...
Vipengele viwili vimenigusa,cha gaidi kuwahi kuijua Tanzania na Kuuzwa kwa Loliondo, Hata kigamboni nasikia imeuzwa kwa mmarekani, Hivi nchi inauzwa na nani?yeye ndo mmiliki pekee halali wa nchi? Mikataba inafanyikaje? Hela anakula nani? Wazawa watafukuziwa wapi? Basi kuwe na mgao sawa kwa wote...
Hili mbu mbu mbu LA CCM sijui linachagiaga mini, Lenyewe Kazi ni Kukutea na kushangilia kuila ushezi unaofanywa na selikali na viongozi wa ccm. We lifuatilie kwenye hoja zote humu jf utaliona, halinaga mawazo chanya yenye Tija kwa watanzania
Kama kweli mnajali uzalishaji mbona tukizalisha nyie mna iba? Mala escrow mala rich mond mala mabilioni ya uswis, huku mna tuua mkituswaga tukazalishe, wakati nyie mnaiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.