Kuna habari zinasambaa kuwa viongozi wawili wameachiwa na wapo huru.
Habari zaidi zinasema mmoja wa viongozi hao ameoneka kwenye picha akiwa na Familia, mwenye taarifa zaidi plz.
TAARIFA KAMILI YA KESI HII:
- Breaking News: - Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, wawili waachiwa huru huku wengine...
Give marks how much out of [emoji817] did Tundui Lissu he score from Shaka's interview vs fundi Lissu allegation
Jpm kaua demokrasia. 10%. ____
Jpm kaua uhuru wa habari 10%. ____
Jpm haonekani 10%. ____
Mlinzi kafa. 15%. ____
JPM mgonjwa 15%. ____
JPM kafa. 30% ____
JPM kajenga Chato. 10%. ____
Nimemsikia Rais akisema kuwa mwanae ilipata Corona hii inaweza kuwa sababu aliamua ajitenge ili kuepuka maambukizi ya Corona, kwa maoni yangu Rais alifanya jambo jema kama Kiongozi wa kitaifa na kuamua kufanya kazi kutoka Kijijini kwake Chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ugonjwa huu wa Corona mikusanyiko ya na misongamano ni kichocheo kikubwa cha maambukizi, ukiangalia hali ya hewa ya baadhi ya Maeneo ya nchi hasa ukanda wa pwani, mahsusi Dar as salaam.
Vituo vya mabasi vya Kimara mwisho, Ubungo, Ferry, Kariakoo Mbagala, utaona hilo ni bomu linalo Subiri...
Mshukuru Mungu kwa Kila jambo, things happens for a reason, yatapita utageuka nyuma nakuona ulikotoka, itakuwa historia, pia ww uwe mfano kusaidia wengine, nitakutafuta! Usife moyo Mungu Ni mkubwa Amen
Usihamishe mada, unakimbilia kusema michoro na rangi, huoni Kama picha Moja Ni mbele na Moja Ni ya nyuma, ndo maana Kuna kioo (windshield) kwa Dereva kuona na picha nyingine hakuna kioo kwa sababu Ni nyuma ambako huwa Kuna engine
Up held ni neno gumu kwa wa Tanzania, baada ya kuangalia matangazo ya TV za Kenya zilionyesha kuwa uchaguzi wa Kenya umekuwa up held, wa Tanzania wengi ama kwa kutokufahamu ki english, kulitokea sinto fahamu juu ya nini kimetokea juu ya uamuzi wa mahakama ya upeo ya Kenya wengi wakifikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.