Recent content by bikira mimi

  1. B

    Sitaki tena msichana bikra!!

    Sisi mabikra huwa tuna aibu sana kwenye 6*6 ndo maana unatuona kama wasumbufu ila tukishazoea mbona mwenyewe utapenda!
  2. B

    Papa apiga kiss miguu ya watu karibu 12 na kuwaosha miguu yao

    Kwa lugha ya kiphilosophy tunasema Argumentum ad verecundium
  3. B

    Kipi chuo kikuu bora Tanzania?

    Sure this is the best
  4. B

    Eti microwave inaweza kuoka mkate?

    Mkate unaweza kuiva kwa kupikia kwenye microwave?
  5. B

    Je, manii/shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

    mimi nimeuliza hilo swal kwa niaba ya mtu
  6. B

    Je, manii/shahawa zina madhara kiafya iwapo nitazimeza?

    Naombeni kujua iwapo mume wangu atapiz mdomoni kwangu na nikazimeza shahawa zake je, kuna athari zozote za kiafya?
  7. B

    Mmmh! Humu kweri hamna mademu

    Fallacy of Generelization
  8. B

    Wanafunzi wa SAUT MWANZA wapatao 120 wamefika dar salama 3 asubuhi wanamkia bodi ya mkopo

    Et utalii wa ndan hivi dar kuna lipi jipya ambalo mwanza halipo? jiji lenyewe limejaa mitaro tu Mungu awasaidie hao wanafunzi maana wamezungushwa vya kutosha!
  9. B

    Picha 3 ZA WEMA NA AUNT EZEKIEL WAKIKATA 'MAUNO'

    Yote ni UBATILI tu kama alivyosema Mfalme Suleman. Acha wajilishe upepo.
  10. B

    Nianzishe mtaji gani kwa kutumia pesa hizi...?

    Nasoma mwaka wa pili katka chuo kikuu kimoja hapa Mwanza na pia nanufaika na mkopo kutoka HESLB. Je kwa kutumia pesa za mkopo ambazo ni 450,000 kila baada ya miezi miwili naweza kuanzisha mtaji gani au biashara?
  11. B

    Tumheshimu Rais wetu Kikwete

    Sidhani kama ni jambo la busara sana kumvunjia heshima rais JK hadharan na kumwita majina ya ajabu Kila mamlaka iliyowekwa imewekwa kwa makusudi ya Mungu hivyo kutoitii ni km kutomtii Mungu. Rais Kikwete kama kiongozi mkuu wa nchi anahitaji heshima yetu hata kama haturidhiki na utendaji...
Back
Top Bottom