Nimeachana na mpenzi wangu baada ya yeye kutoka kimapenzi na rafiki yangu na nilimuahidi sitalipa kisasi kwa rafiki yake wala ndugu yake yoyote ila ni lazima nitembee na baba yake ili heshima irudi.
Sasa Mungu alivyo mwema nimekutana na baba yake kwenye mtandao mmoja wa kijamii akanitumia...
Hivi wanawake wenzangu, huwa mnatumia mbinu gani ili muweze kuhongwa na wanaume? Kwani hata sijui nitumie maneno gani ili niweze kupata pesa kutoka kwao.
Wengine wanajikausha tu hadi mtu unaaga kuwa unataka kuondoka wao wamekauka tu. Hapa simaanishi kuwa ni mtu ninayejiuza, sitaki kutukanwa.
nami niliwahi enda kwa mmoja wapo kati ya hao uliowataja pale kuna upako wa kuanzia elfu 50 hadi wa elfu 5 anasema kabisa anayetoa nyingi anapata upako mwingi hana hata aibu siu za mwisho zimekribia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.