Kuna mtu aliuliza kama Dangote wanauza hisa lkn sijaona jibu, na mm nauliza swali hilo hilo. Je, Dangote wanauza hisa au watauza? Na ni lini? Jibu tafadhali.
Nimefurahia sana Serikali kuwapiga 'stop' wafanyabiashara wanaonyemelea kuwekeza kwenye vilabu vikubwa vya soka Tz, Yanga na Simba.
Ushauri wangu kwa hili ni kuwataka wafanyabiashara hawa kuanzisha vilabu vyao kama alivyofanya mwenzao kwa kuanzisha Azam na ikawa moja ya timu zinazofanya vizuri...
Hiyo ni namba ya Tigo na hutumiwa kutokea ofisini kwao kuwasiliana na wateja hasa Invoice msg iliyorekodiwa, huwezi kupiga wala kutuma msg kwa no. hiyo. Ova!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.