kwa hapa wilaya ya Tarime kupakana na wilaya ya Musoma mjini na vijijini HAPANA...ni wilaya mbili tu zilizopakana na Tarime ambazo ni Serengeti na Rorya tu
Wakuu habari za muda.. Natumai mu wazima na majukumu ya hapa na pale hasa katika suala zima la TEHAMA
Ninatumia Samsung J5 ina ukubwa wa GB 4 internal storage yake...nimenunua memory card ya GB 8 niifanye iwe default storage lakini sijaona options yoyote ndani ya simu ya kuifanya memory card iwe...
mkuu mimi naomba msaada hasa nikipewa torrents link ya kuweza ku-download korean drama kama utakua nayo ntashukuru sana maana napata taabu sana kuangalia online tena youtube..niliwahi kupewa link ila ikawa ni ya kuangalia tu na siyo kupakua ...msada mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.