Recent content by BangiNyeusi

  1. BangiNyeusi

    Uno (Harmonize) vs Baba lao (Diamond)

    Kucopy ni dhambi, kama wasanii wamekubalianam
  2. BangiNyeusi

    Diamond unakosea sehemu ndogo sana

    Ni wimbo usio kua n maisha marefu pia nafikiri vile maswala ya uchaguzi yanakaribia ni kujipa shavu ale pesa za kampeni... beat n idea ya soapy yake Naira marley Nb mond ataendelea kuwabuluza mnoo
  3. BangiNyeusi

    Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

    Kwaiyo unataka kusema kiba anaimba basi tu? Mafii wee
  4. BangiNyeusi

    Marks 1...

    7 mkuu na paper kazaa zimegota kwenye 39.. ngoja nijaribu bahat mara nyingine
  5. BangiNyeusi

    Marks 1...

    Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa inaweza ikaleta matokeo chanya katika jumla ya matokeo yake.....! Hii elimu ngumu sana ila hatuna namna...
  6. BangiNyeusi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ligi ndio hizo zimeanza makamanda.... au tusubiri ligi za msimu ujao? Mmbo s shwari
  7. BangiNyeusi

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Leo wajomba tumestahili kipigo
  8. BangiNyeusi

    Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

    Yule atabaki kua muhamasishaji tu nafikiri ila hawez kutoka simba moja kwa moja. Huyo Gift anaenda kufanya kazi kiweledi zaid kama anavyofanya D10 yule wa Yanga...
  9. BangiNyeusi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Barcelona wafungane Almere city afunge au atoe draw
  10. BangiNyeusi

    Watuhumiwa wa biashara kongwe zaidi duniani waanikwa

    Nomaa saana ila hakuna umuhimu wa kuweka picha zao
  11. BangiNyeusi

    Jambo gani ulilowahi kulifanya kila ukikumbuka unajuta

    Kumpenda saana dame flani hivi .....
Back
Top Bottom