#MASTORISTORIYAMWALIMUNAMZEEABDALLAH
Mwanangu tambua maisha yako ya leo yaweza yasiwe kama ya kesho! Ishikilie leo, ifurahie leo maana nani aijuaye kesho itakuja na nini?
Juzi tu nilikuwa nacheza bao na Mzee Athumani ila leo hayupo. Sio kuwa hajafika hapa kijiweni kwetu tu, hapana, hayupo na...
Maisha yetu binadamu yamezungukwa na mambo mengi sana. Kuna wakati kwenye maisha ukweli na uongo huamua kujitenga ili maisha halisi yajidhihilishe.
Ni kawaida ya wanadamu wote hasa waafrika kudevelop ego hasa pale wanapoona wao ni wa muhimu sehemu fulani. Sijui nani alituloga sisi ngozi nyeusi...
Uongozi wa st. Marcus pre, primary and secondary school iliyopo iwambi mkoa wa mbeya inapenda kutangaza nafasi za masomo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza (msingi) na kidato cha kwanza (sekondari) kwa muhula wa masomo 2024/2025.
Tunapokea jinsia zote.
Pia, nafasi za kuhamia shule ya msingi kwa...
Inabeba Lita 4,500 na bado ipo kwenye hali nzuri. Bei 25 Milioni (Maongezi yapo).
Leo Juma Nne ukingoja January unaikosa hii.
Boss wa moto! Tufanye biashara....
Tucheki 0678275619.
#magariused #ayendaposted #magari #kenya #Uganda #UgandaSafari #DRC #drcongo #tanzania
Kuna mtu anahama yupo Kahama, maeneo ya Nyahanga anauza friji,
Godoro,
Jiko la gesi,
Viti plastiki,
Viti vya kiofisi,
Meza za kiofisi,
Meza za mbao,
Vyombo pamoja na mapazia.
Maongezi kwa mwenye uhitaji yanakaribishwa. Bosi ana haraka. Kama ni Dalali mlete mtu wako, KAMPA KAMPA TENA kwa LUPASO...
Specifications,
HORSE : R400
USAJILI: DLG
USAJILI WA TRELA :
NAMBA: AWN
LOCATION; IPO DAR ES SALAAM
UJAZO ; INA UWEZO WA KUBEBA LITA 40,000 ZA MAFUTA
INAFANYA KAZI VIZURI KABISA.
UNAPAKIA MAFUTA NA KUONDOKA.
BEI NI MIL.85
Njoo PM au nipigie 0678275619/0620275619
Juzi kati niliandika uzi kuhusu udhamini wa GSM na nkaja na maswali ya ufahamu. Kuna waliokubaliana na hoja na baadhi walikataa kabisa.
Unaweza upitia hapa, Je, ni kweli udhamini GSM ni wa kimkakati?
Kilichotokea leo pale Lupaso ni matokeo ambayo niliyategemea sana. Na kama TFF, TPLB na GSM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.