Nina mil 7 nahitaji gari IST

Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Toyota IST.

Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)

Isiwe imeguswa injini

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
Screenshot_20210920-213800_Twitter.jpg
 
Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Toyota IST.

Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)

Isiwe imeguswa injini

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
Ist
Bei: 7.5m
































































IMG-20210922-WA0014.jpg
IMG-20210922-WA0013.jpg
IMG-20210922-WA0016.jpg
 
Habari wadau,

Naitaji gari ya kununua kwa mtu.

Iwe Toyota IST.

Cc 1290 (isiwe zaidi ya hizo)

Isiwe imeguswa injini

Namba D ndio itapewa kipaumbele.

Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.

Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm

au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.

Natanguliza shukrani, nipo DSM
Nicheki ipo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom