Unajuaa binafsi naonakuna mambo mengi yamejificha kwa jicho lang la haraka haraka [emoji848][emoji848][emoji848]
Nyinyi mna uhakika gan kama ule usia uliandikwa kweli na marehemu??
Pili, kwanin usifikili labda yawezekana alihujumiwa uhai wake na labda knamna flan flan halaf labda wafanya tukio...
Wasomi wa law school wajumuike kufungua kesi yakikatiba juu ya huo unoonekana ni ubaguzi .
Wanasheria changamkeni.peleken mahakamani kupata ufafanuzi kisheria
Kuhusu hili la sumaku [emoji23][emoji23][emoji23] sina uhakika nalo labda wanajamvi wetupe uzoefu kama kweli sumaku hujitokezaa baadàa ya kupita kwa wawili watatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo Mh Zuberi umeelezea vizuri, lakin bado kwa upande wa Serikali kuna uwezekano baadhi mambo hawajataka kueleza wazi wazi kuhusiana na huo mradi, kwanza ni vizuri tukafahamu je baada ya huo ujenzi hao waajiriwa wote wangekuwa watanzania au ni hao hao wachina wenyewe? je mgawanyo wa mapato ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.