Recent content by andy90

  1. andy90

    Baada ya ripoti ya polisi Masanja amuombe radhi mke wake kwa kumhisi alichepuka

    Unajuaa binafsi naonakuna mambo mengi yamejificha kwa jicho lang la haraka haraka [emoji848][emoji848][emoji848] Nyinyi mna uhakika gan kama ule usia uliandikwa kweli na marehemu?? Pili, kwanin usifikili labda yawezekana alihujumiwa uhai wake na labda knamna flan flan halaf labda wafanya tukio...
  2. andy90

    Serikali kutumia kigezo cha kupitia JKT ili kupata nafasi za kazi wakati si vijana wote huchaguliwa kujiunga na JKT ni ubaguzi wa wazi

    Wasomi wa law school wajumuike kufungua kesi yakikatiba juu ya huo unoonekana ni ubaguzi . Wanasheria changamkeni.peleken mahakamani kupata ufafanuzi kisheria
  3. andy90

    Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

    Watu wengi wanamzungumzia kwa Udini na ni mtu mbaguzi sana: kuwa hapendi watu wa dini nyingine tofauti na waislam
  4. andy90

    Used shipping containers for sale

    The delivered container already converted as office or it require modification thereafter; please provide more clarification if you don mind
  5. andy90

    Kwanini unaniacha wakati nakuhitaji?

    Acha dharau na kejeli, kama huwezi kutoa ushauri piga kimyaa cha habar za kishamba kukejeri watu; sijapenda kumuita mwenzako hajielewii
  6. andy90

    Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

    Kuhusu hili la sumaku [emoji23][emoji23][emoji23] sina uhakika nalo labda wanajamvi wetupe uzoefu kama kweli sumaku hujitokezaa baadàa ya kupita kwa wawili watatu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. andy90

    Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    Hapo Mh Zuberi umeelezea vizuri, lakin bado kwa upande wa Serikali kuna uwezekano baadhi mambo hawajataka kueleza wazi wazi kuhusiana na huo mradi, kwanza ni vizuri tukafahamu je baada ya huo ujenzi hao waajiriwa wote wangekuwa watanzania au ni hao hao wachina wenyewe? je mgawanyo wa mapato ya...
  8. andy90

    Kwa waliochaguliwa NIT join kweny hili group la wana NIT kwa updates kuhusu chuo WhatsApp group "NIT "FIRST YEAR""

    Kwa waliochaguliwa NIT join kweny hili group la wana NIT kwa updates kuhusu chuo WhatsApp group "NIT "FIRST YEAR"" - JamiiForums
  9. andy90

    National Institute of Transport (NIT) -Special Thread

    Tafuta link ya group la whatsapp uingiee kuna maelezo yote
Back
Top Bottom