Mbunge wa Kawe. Asikofu Dr Josepat Gwajima. Ametembelea Bunge la Japan. Hapa akituma salaam kwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson.
Aidha Gwajima amepata mialiko kadhaa ya watu wa Tokyo kufika jimboni Kawe na kufanya mashirikiano...
Kumekuwa na uvumi wa muda mrefu kuwa Bri Gen Sultan Makenga kauawa vitani huko DRC.
Hatimaye Leo zimevujishwa picha za maiti ya Makenga kwenye mitandao ya kijamii.
Itoshe nisema hili ni pigo kubwa sana kwa M23 na kwa Rais Kagame bila kumsahau Lut Gen Kabarebe wa Rwanda.
Brig Gen Sultan...
Kagame kwa mara ya kwanza kanywea vikali. Kajisahau kasema M23 itaondoka DrC Sasa wanamuuliza yeye ni nani wa M23.
Kaufyata.
Anywhow ikitokea vita Kigali itaanguka within 2 weeks. Vitaa inaanza DRC wako KM 150 to Kigali. Na RW wako KM 1500 to Kishansa.
Sasa defence line ya Rw ikivuja kidogo tu...
Mie naomba DRC iivamie Rwanda. Afu madubwana tuunge mkono DRC. Haiwezikani Kagame awe tatizo lisiloisha yeye na mgogoro na kila nchi.
Alimtukana JK na Tz. Akavimbia Burundi. Kavimbia Ugh kavimbia DRC kavimbia SA.
Who is she.
Wanajeshi wa Rwanda wanauwawa kwa wingi wengine xnx na kukimbia wanaacha vifaa vya jeshi vyenye log ya jeshi lao. Sasa hakuna utata tena kua M23 ni RDF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.