Paul Kagame ni nani EAC? Hii jeuri ya kujiamini hivi anaitoa wapi?

Hili jambo limenishangaza kweli, Yaani Kagame hata kabla ya kukutana na Tshisekedi tayari anaongea kwa kujiamini tena kwa mkwara mzito, kwamba wasipohafikiana yeye yupo tayari kupigana.

Kagame hii jeuri ya kuzozona na kila nchi Africa Mashariki anaitoa wapi?

Kagame anajiona nani haswa hapa EA?

Lakini pia nimegundua JK alikuwa sahihi alipotaka kumuwajibisha, huyu mtu ameota mapembe hapa EA.

_________________________

Kagame: Nimejiandaa kwa mabaya zaidi katika mzozo wa DR Congo

Rais wa Rwanda Paul Kagame anasema anatarajia mema lakini "amejitayarisha kwa mabaya zaidi" kuhusu mzozo kati ya nchi yake na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa Congo wa M23 na hivi majuzi ilisitisha mikataba yote ya biashara na ushirikiano. Rwanda inakanusha madai hayo.

Rais Kagame anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenzake wa Congo, Rais Félix Tshisekedi siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Angola, Luanda.

Mazungumzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Angola João Lourenço.

Lakini kabla ya mkutano huo, Rais Kagame ametuma ujumbe katika mtandao wa twirtter akisema anajiandaa kwa mabaya zaidi.

"Natarajia mema kwa sisi sote, Congo na Rwanda. Lakini kama yaliyo bora hayatakuja, watakuta nimejiandaa kwa mabaya. Hiyo ndiyo njia ya kwanza ninayoishughulikia. Ninajiandaa kwa mabaya lakini ninawatakia mema zaidi na ninamaanisha."

Rais wa Rwanda anasema hakuna "suluhisho la kichawi" katika mvutano kati ya majirani hao wawili.

"Hakuna suluhisho la uchawi hapa kwangu zaidi ya kuwasilisha ukweli kama ninavyouelewa na ukweli umeshawasilishwa... sio watu kuunda ukweli wao wenyewe au kufikiria tu kwamba watatoa suluhisho kwa upande mmoja au mwingine."




Chanzo REUTERS, Aljazeera, BBC


View attachment 2281873

Annunaki upo vema sana. Sema tu Kule kwenye ligi yetu ya Ukraine unanisikitisha upande uliochagua.
 
Kagame yupo sahii sana, kwa izo kauli zake ni ishara kwamba nchi yake imepiga hatua kubwa sana na nampongeza kwa hilo.

Pili Kagame kwa miaka yote iyo ameona namna gani rasilimali za Afrika zikifaidiwa na Wazungu hasa wanakuja Afrika kwa mgongo wa UN, na wengine wanakuja kwa Mgongo wa Mslaba mwekundu, uku wakichuma mali za Kongo, na kutajirisha nchi zao afu yeye nchi jirani anabaki kuwa maskini na Mali zipo kwa jirani, ni aibu sana kwa nchi ya Kongo mmnagombana na jirani yako kwa Mali ambazo anakuja mwizi kutoka mbali na anakuja na mikakati yake,ya kukuanzishia vikundi vya waasi na kuwapa silaa, kisha anarudi kwa mlango mwingine kuja kukupa suluhisho la ayo matatizo ya waasi na Amani, kumbe anakuja kupora Mali zako....mmfunguke akili...Awo wazungu ndo tatizo...
Ukisikia Critical Thinking ndio hii Sasa. Hoja zako zina mashiko sana. Anachokifanya Rwanda hakina tofauti na wanavyofanya Marekani na Ulaya yaaini ikiwezekana hata wapo tayari kuanzisha vita ili wapore au waibe rasilimali. Na ndio hao tunawasifia kwa jinsi walivyoendelea
 
Labda ungeanzia kuuliza ni nani kwenye nchi yako kabla ya kuvuka mipaka, Kagame ndo kila kitu!
 
Anavimba, lakini sijaona akizivimbia Kenya na Tanzania! na nadhani naye hathubutu kufanya ivo.
Na Hizi Giant za EA naona zinamtazama kwa makini! One day wataongea.
Kwanini anazihofia Kenya na Tanzania? M7 alishiriki Kwa namna fulani kumfanya awe hivyo Sasa hivi but Mbona anamchukulia poa tu kuliko Kenya na Tanzania? Why? Kenya walimfanya nn?
 
Mkuu, nimejitahidi sana kutafuta hii story ya PK na JK nimeishia kupata story za vijiweni tu.

1. Chanzo cha mgogoro ilikuwa nini ?
2. Mgogoro ulidumu kwa muda gani.
3. Hatua gani zilichukuliwa na JK.
4. Hatma ya mgogoro ilikiwa nini?
5. Ni kweli Kagame alishindwa kufurukuta mbele ya JK.

Nitashukuru sana kupata majibu haya hata inbox
Dogo kweli wewe
 
Na chenyewe tukaue
Hili jambo limenishangaza kweli, Yaani Kagame hata kabla ya kukutana na Tshisekedi tayari anaongea kwa kujiamini tena kwa mkwara mzito, kwamba wasipohafikiana yeye yupo tayari kupigana.

Kagame hii jeuri ya kuzozona na kila nchi Africa Mashariki anaitoa wapi?

Kagame anajiona nani haswa hapa EA?

Lakini pia nimegundua JK alikuwa sahihi alipotaka kumuwajibisha, huyu mtu ameota mapembe hapa EA.

_________________________

Kagame: Nimejiandaa kwa mabaya zaidi katika mzozo wa DR Congo

Rais wa Rwanda Paul Kagame anasema anatarajia mema lakini "amejitayarisha kwa mabaya zaidi" kuhusu mzozo kati ya nchi yake na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa Congo wa M23 na hivi majuzi ilisitisha mikataba yote ya biashara na ushirikiano. Rwanda inakanusha madai hayo.

Rais Kagame anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenzake wa Congo, Rais Félix Tshisekedi siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Angola, Luanda.

Mazungumzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Angola João Lourenço.

Lakini kabla ya mkutano huo, Rais Kagame ametuma ujumbe katika mtandao wa twirtter akisema anajiandaa kwa mabaya zaidi.

"Natarajia mema kwa sisi sote, Congo na Rwanda. Lakini kama yaliyo bora hayatakuja, watakuta nimejiandaa kwa mabaya. Hiyo ndiyo njia ya kwanza ninayoishughulikia. Ninajiandaa kwa mabaya lakini ninawatakia mema zaidi na ninamaanisha."

Rais wa Rwanda anasema hakuna "suluhisho la kichawi" katika mvutano kati ya majirani hao wawili.

"Hakuna suluhisho la uchawi hapa kwangu zaidi ya kuwasilisha ukweli kama ninavyouelewa na ukweli umeshawasilishwa... sio watu kuunda ukweli wao wenyewe au kufikiria tu kwamba watatoa suluhisho kwa upande mmoja au mwingine."




Chanzo REUTERS, Aljazeera, BBC


View attachment 2281873
 
Hili jambo limenishangaza kweli, Yaani Kagame hata kabla ya kukutana na Tshisekedi tayari anaongea kwa kujiamini tena kwa mkwara mzito, kwamba wasipohafikiana yeye yupo tayari kupigana.

Kagame hii jeuri ya kuzozona na kila nchi Africa Mashariki anaitoa wapi?

Kagame anajiona nani haswa hapa EA?

Lakini pia nimegundua JK alikuwa sahihi alipotaka kumuwajibisha, huyu mtu ameota mapembe hapa EA.

_________________________

Kagame: Nimejiandaa kwa mabaya zaidi katika mzozo wa DR Congo

Rais wa Rwanda Paul Kagame anasema anatarajia mema lakini "amejitayarisha kwa mabaya zaidi" kuhusu mzozo kati ya nchi yake na nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa Congo wa M23 na hivi majuzi ilisitisha mikataba yote ya biashara na ushirikiano. Rwanda inakanusha madai hayo.

Rais Kagame anatarajiwa kufanya mazungumzo na mwenzake wa Congo, Rais Félix Tshisekedi siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Angola, Luanda.

Mazungumzo hayo yanasimamiwa na Rais wa Angola João Lourenço.

Lakini kabla ya mkutano huo, Rais Kagame ametuma ujumbe katika mtandao wa twirtter akisema anajiandaa kwa mabaya zaidi.

"Natarajia mema kwa sisi sote, Congo na Rwanda. Lakini kama yaliyo bora hayatakuja, watakuta nimejiandaa kwa mabaya. Hiyo ndiyo njia ya kwanza ninayoishughulikia. Ninajiandaa kwa mabaya lakini ninawatakia mema zaidi na ninamaanisha."

Rais wa Rwanda anasema hakuna "suluhisho la kichawi" katika mvutano kati ya majirani hao wawili.

"Hakuna suluhisho la uchawi hapa kwangu zaidi ya kuwasilisha ukweli kama ninavyouelewa na ukweli umeshawasilishwa... sio watu kuunda ukweli wao wenyewe au kufikiria tu kwamba watatoa suluhisho kwa upande mmoja au mwingine."




Chanzo REUTERS, Aljazeera, BBC


View attachment 2281873

Putin of Africa 💪🏿
 
Kagame yupo sahii sana, kwa izo kauli zake ni ishara kwamba nchi yake imepiga hatua kubwa sana na nampongeza kwa hilo.

Pili Kagame kwa miaka yote iyo ameona namna gani rasilimali za Afrika zikifaidiwa na Wazungu hasa wanakuja Afrika kwa mgongo wa UN, na wengine wanakuja kwa Mgongo wa Mslaba mwekundu, uku wakichuma mali za Kongo, na kutajirisha nchi zao afu yeye nchi jirani anabaki kuwa maskini na Mali zipo kwa jirani, ni aibu sana kwa nchi ya Kongo mmnagombana na jirani yako kwa Mali ambazo anakuja mwizi kutoka mbali na anakuja na mikakati yake,ya kukuanzishia vikundi vya waasi na kuwapa silaa, kisha anarudi kwa mlango mwingine kuja kukupa suluhisho la ayo matatizo ya waasi na Amani, kumbe anakuja kupora Mali zako....mmfunguke akili...Awo wazungu ndo tatizo...
Kwani Rwanda kuna soko la madini?
 
62.41 billion USD (2020) TANZANIA GDP

10.33 billion USD (2020) RWANDA GDP

Muwe na Heshima na hii nchi hata kama CCM inszingua
Heshima kwenye kitu gani na nchi ni kubwa imagine hio hela ya Rwanda ni kama ka mkoa tu kwa huku wat if ingekuwa kubwa
 
Back
Top Bottom