Uhuru na Umoja. Tanzania Nchi huru na ya haki! Ikiainishwa kuwa kina nani waliyopata kihalali na wasiyo halali kati ya hao wateule, na waliyo haki kupewa haki yao, kwa kufanya hivyo basi, usawa usio kuwa na upendeleo wa upande wowote ule utakuwa umewekwa bayana. Mungu ibariki Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.