Recent content by afromwene

  1. A

    Kwanini Dkt. Slaa anaichukia amani?

    Hivi ni kwanini hatutaki ukweli nimashambulizi gani aliyoyafanya Dr Slaa kumwambia ukweli waziri ndo kumshqmbulia mtu tuliite koreo kwa jina lake alichokizungumza Dr. sisi tunaoishi sehem zilizopata majanga tunayajua tusipotoshe maana mbona Mtatiro kaongea hatujasema kamshambulia mtu nini tatizo...
  2. A

    Tundu Lissu: Nyerere alikuwa mkandamizaji...

    Sidhani kama Lisu kamtaja mtu alicho zungumzia ni ukanfamizaji toka tulipopata Uhuru kataja mambo ambayo yako wazi kwanini tuingize uchadema kilichokua kinazungumziwa ni Tz kwa miaka 50 ijayo katika swala la Amani hivyo ieleweke kua hakua meakilishi wa chama kama ukichukulia mantiki hio katika...
  3. A

    Bi Sofia Simba amualika Lowassa ufunguzi wa msikiti wa Taqwa

    Misiwezi shangaa huyo mama kufanya hivyo kwa wafuatiliaji wazuri wa siasa wanajua kama mama yumo katika list ya Jamaa hivyo anatimiza wajibu wake
  4. A

    PART ONE: Chanzo cha Mvutano wa Kisiasa Arusha kati ya CCM & CHADEMA

    Wakati mwingine tuweke uchama pembeni tuangalie utaifa kunawatu ni hatari sana kwa ustawi wa inchi swali NIKWANINI MWL. NYERERE ALIEKUA MWANACCM MWENYEKADI NO 1 ALITAMKA WAZI HADHARANI KUA LOWASA HAFAI ?Sasa leo kinda marimbukeni wa siasa mnashindwa kuukubari ukweli nanianaijua ccm na watendaj...
  5. A

    Uhuru Kenyatta aisiriba serikali ya Tanzania

    Tusikimbilie kuponda tu hivi wao Kenya pamoja na kujitegemea kwa asilimia kubwa wananini? Na maswala ya sisi kama watanzania kua tegemezi atuachie wenyewe tutayamaliza kama sisi tulivyokua tunaangalia mambo yao. Hivi kiongozi kama Uhuru analokweli la kuisema tz au ni wivu anaona watanzania...
  6. A

    Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

    Hao Madar na Maprof unaowaona feki idadi kubwa ndio wanaofundisha hata vyuo vya hao wenye elimu bora kwa kipindi cha miaka isiyopungua 20 chuo kikuu cha dar kimekuwepo ktk vyuo bora Africa na ndio chuo kilichokuana school of thought ya mlengo wa kiafrika. Ni miongoni mwavyuo vinavyofanya vizuri...
  7. A

    Ukweli mchungu: Wasomi wetu hawauziki…!

    Mtoa mada ungekuja na takwimu ingependeza nachojua Tanzania ni inchi isiyokua na idadi sahihi ya wasomi wake walio inje yani ughaibuni sasa takwim zinamuhusu nani. Uk wazanzibar kunakipindi walikua na kiongozi wao yaani wazenj walioko uk bar kushnehi.TUNAJIDHARAU SANA LAKINI HATA HAO UNAODHANI...
  8. A

    Mwanausalama Tanzania aaibika kutumia nguvu na mwanausalama wa Obama kumlinda mwandishi

    Sioni tofauti kati ya hao waandishi na hao mapoliccm kwasababu wote hujifanya wao simiongoni mwetu watanzania tunaonyanyasika kila kukicha WAACHENI WAFU WAZIKANE WENYEWE
  9. A

    Ayub Rioba: Why is Obama ending Africa trip in Tanzania?

    Hawana tafiki wa kudum ila adui wa kudum hii kauli wanaisema hadharani wamarekani Obama yupo kutekeleza katiba na matakwa ya inchi yake tusijidanganye kua hatuna cha kuibiwa na marakani eti kwasababu takwim zinaonyesha wao wanazo rasilimali nyingi kuliko sisi vp unaijua idadi ya watu marekani...
  10. A

    Jamani akina dada tuhurumieni basi hata kidogo.....,

    Tendo la kuomba inamaanisha huna sasa unapewa kilichopo analeta ujinga na wewe unashangilia.......§₩¥¿x-(O:-) sana wewe
  11. A

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    Hayaja rekodiwa live ni documentary sahihisha usemi wako na nidocumentary iliyotengenezwa kujibu waingereza na serikali ya bara.Imetengenezwa na waarabu na wafaransa unategemea nini soma zaid uliza wazee watakusaidia please narudia si live fikiria hali ya kisiasa iliyokuwepo kati ya...
  12. A

    Msaada!sabuni gani nzuri kusafisha papuchi!!

    Sivibaya kutoa maoni ila hili niswala la msingi sana ambalo mwenzetu katuuliza kauriza ni sabuni gani atumie japo haya maji ya uvuguvugu yanafaa ila tunapofikia swala la sabuni za dawa ni la hatari sana sio tu kwa papuchi ila hata kwa mwili kama mtu atafanya hizo sabuni kua ndo zakutumia ktk...
  13. A

    Haya ndio Mapinduzi ya Zanzibar, yamerikodiwa live na waitaliano 1964

    Tusichanganye mambo documentary si kitu cha kurekodiwa ni kaz inayotokana na ethnography na kwa mantiki hio inaweza kuongezwa au kupunguzwa tusipotoshwe na rangi kwani hata hip hop ngum ya leo imewezwa kutayarishwa ktk nadharia ya kuonyesha ni yabzamani rusiwe wavivu wa kufikil na lazima...
  14. A

    Msaada!sabuni gani nzuri kusafisha papuchi!!

    Nivema utumie sabuni sizizo na dawa na zilizo katika hali ya kimiminika ila simaanishi za kufulia. Namaanisha sabuni kama ya kuogea watoto iliyo ktk hali ya kimiminika kama lotion inaitwa Johnson baby soap nilimuona mtali mmoja akiitumia japo nyingine sikuweza zijua kozi zilikua za majina ya kwao
  15. A

    Wa Zanzibar wazeni haya

    Hii ni safu huru mtu ana nafasi ya kutoa maoni yake, si kosa kuizungumzia Zanzibar kama kakosea njoo na hoja iliapatekuelimika.
Back
Top Bottom