Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Sticky
Habari WanaJF, Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT. Tunashauri Jukwaa hili...
28 Reactions
145 Replies
60K Views
Jf family, Im looking for a matured man to start a new life chapter with.Im 35yrs-christian with one kid.Im employed. If you are interested,you are in your 30's up to 40's please leave a message...
13 Reactions
127 Replies
3K Views
Assalamualaikum Wana familia ya jf. Nina ishi mbeya mjini sehemu inaitwa Airport ya zamani. Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia. Sifa zake Awe mwanamke...
19 Reactions
244 Replies
2K Views
Jinsi: Me, Umri: 28, sina mtoto, sijawahi kuoa. Kazi: Mwalimu, Muandishi. Makazi: Moshi (kwa muda), Imani: Mkristo, Sifa: Mweusi, Mrefu, .... 'Naamini Mke mwema anaweza kupatikana hapa pia '...
5 Reactions
71 Replies
3K Views
Mimi ni: Kijana: 35 Sija wahi kuoa: Sina mtoto: Mjasiria Mali: Nina shahada ya kwanza. Niko, Ilala, DSm. Sina kitambi , mrefu wa wastani. Dini : mkristo. Sifa za mke mtarajiwa Awe: Mzima wa...
10 Reactions
107 Replies
1K Views
Nahitaji mke awe na umri kuanzia miaka 30 -48. Mimi nina umri wa miaka 45. Awe mkristo na mwenye kumcha Mungu. Elimu kuanzia Diploma na kuendelea.
1 Reactions
0 Replies
28 Views
alie tayar kua kati ya hvo juu hapo naomba ancheki dm ila mm ni mwanaume so natafuta mwanamke kutokana hiko kchwa cha.habar hapo juuu ni yoyote yule ila mwanamke kwa umri wowote ule alie tayar...
3 Reactions
11 Replies
177 Views
Uwanja ukowazi. Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa. Sifa zangu: Umri : 50 Elimu: shahada 1 &2 Kazi: Mfanya biashara Dini: Mkristo...
13 Reactions
211 Replies
2K Views
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa...
33 Reactions
2K Replies
197K Views
Habari JF, Mara nyingi humu ndani mtu akiandika kitu anaonekana hayuko serious, Juzi nimeweka Uzi apa nimesema kuwa nahitaji mchumba lkn watu wakatania tania tuu sikupata hata mumoja, Kuna...
2 Reactions
35 Replies
303 Views
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii...
16 Reactions
188 Replies
9K Views
  • Closed
Namshukuru Mungu mimi nilipata mume hapahapa JF ndoa tumefunga na nina mtoto mmoja na mume wangu siku nitaanzsha uzi hapa nlvomuadithia rafiki yangu n a yeye akanituma nmtumie maombi yake... Yeye...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Natafuta mchumba ambae, anaye elewa maisha mvumilivu kwa kila Hali, mwenye hofu ya Mungu, mchapakazi ili tukiwa pamoja tujenge si sio kuvurugana. Umri wake 25-29 Nipo Kilimanjaro Moshi mjini...
5 Reactions
40 Replies
479 Views
Umri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
0 Reactions
9 Replies
285 Views
Jamani,kila mtu na vipaumbele vyake. Natafuta mke kiportabkr lakininawe na tako.Elimy kuanzia form 4 angalau. Awe na mtoto au laa,mm sina shida.Dm me
4 Reactions
28 Replies
560 Views
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao. Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini...
14 Reactions
197 Replies
7K Views
Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili. Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa. Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama...
56 Reactions
368 Replies
20K Views
Hello everyone, Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha. sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa...
25 Reactions
110 Replies
18K Views
Hapa nakuja kwenu ndugu zangu najua hapa ni platform nzuri kuweza kupata mke serious hakika naimani hapa nitapata namna nahitaji mwenye mapenzi ya kweli SIFA ZANGU Miaka 36 now Sina mtoto Rangi...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Habari zenu... Mimi ni kijana wa miaka 30 nina bachelor degree, Ni muajiriwa Serikalini, Pia mfanyabiashara, Ni mweusi 5.7 feet tall, Ni mweusi wa wastani. Natafuta mke wa kuoa Awe na umri wa...
4 Reactions
37 Replies
916 Views
Mambo yasiwe mengi, kuna cousin brother wangu anahitaji kuongeza mke wa pili. Vigezo: Awe mrembo wa sura na umbo pia Elimu kidogo angalau form six au certifcate Umri miaka kuanzia 25 mpaka 32...
2 Reactions
23 Replies
956 Views
Back
Top Bottom