Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume

JamiiForums

JF Official Account
Nov 9, 2006
6,202
5,012
Habari WanaJF,

Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu tabia ya baadhi ya wanachama kufanya mzaha kwa watu wanaotafuta wenza wa maisha kwenye jukwaa hili la LOVE CONNECT.

Tunashauri Jukwaa hili litumiwe kwa malengo kusudiwa. Mtu mzima hapangwi.

Kwa wanaotafuta wenza, tunawakumbusha kuzingatia dondoo zifuatazo;

Dondoo za kuzingatia kabla hujatuma ombi la kutafuta mwenza:

  1. Eleza sifa za unayemuhitaji za nje na ndani, zikihusisha vitu kama umri, umbo, dini, upendavyo (walau hints), kazi na hata uraia.
  2. Hakikisha hizo sifa ulizotaja za unayemuhitaji na wewe pia umeainisha zako.
  3. Kama mwenye sifa unazohitaji yupo JF, tafadhali mtumie ujumbe binafsi (PM).
  4. Toa contacts walau e-mail address na sio mawasiliano ya namba za simu.
- Na mengineyo ya muhimu.

LOVE.jpg
 
6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.
 
Unaweza ukawa sahihi ama si sahihi maana unaweza kutangaza vigezo na kwa vile mtu wa pili nae ni muhitaji akaigiza vigezo vyako impate ama wewe ulieweka vigezo vyako vya uongo ili umpate mwenza mwisho wa siku ndio yale ya "ulificha makucha yako".

Mmmmhh, nadhani kabla ya yote muombe sana mungu na imlilie akukutanishe na mwenza mwenye vigezo uvitakavyo alie mwema na mwenye heri na wewe maana sio vyote ving'aavyo ni dhahabu lkn ukimshirikisha mungu unaweza kumpata anaestahili/kufaa.
 
6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.

6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.
Kwa tahadhari hii naona watatoweka kimya kimya
 
6: wale wanaotafutwa waache tabia ya kukimbilia PM wakijifanya kuw singo kumbe ni mke/ mme wa mtu,,,, nakufanya mtaftaji aizarau JF nzima,,,,,,,. naomba wachukuliwe hatua kali ikiwezekana watajwe majina yao hadharani ili kukomesha tabia hyo.
Mbona jana post yangu imefutwa sababu ilikuwa nn naomba kujua
 
nafikiri walikujuza juu ya 7bu za kuifuta post.


kingine ni bora urudi kwenye ID yako ya zamani ndo upost. mtu umejoin alhamis ijumaa unaomba mchumba inaingia akilini kweli?
hizi double id ndo zinafanyiwa kazi ivoooooooooooooooooooooo.
Kwa hiyo muda gani ndio sahihi
 
Back
Top Bottom