Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Samahani wana jf Nina Shamba langu ddogo la ekari 2 la muhogo. Ninatamani kutengeneza unga wa muhogo ili niuuze badala ya muhogo wenyewe. Plz ninaomba Mwenye uzoefu na kazi hiyo nipo Dar.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Asilimia 40 ya mazao yanayovunwa Tanzania, yanaharibika kabla ya kumfikia mtumiaji kwa kukosa vifaa vya kuhifadhi mazao lakini pia kwa kukosekana viwanda vya kusindika. SIDO wako wapi na...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
  • Redirect
Wakuu humu, heshima mbele. Nimefuga kuku kama 100 hivi wa kienyeji, na nawalisha pumba za mahindi mchanganyiko na mashudu, dagaa na madini. Wanaenda vizuri, ila shida ni kwenye utagaji...
3 Reactions
Replies
Views
Posted mistakenly... I can't delete this post.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Naombeni kwa mzoefu wa kilimo cha vitunguu anijulishe ni wakati gani mzuri wa kulima kutegenea na soko zuri wakati wa mavuno
1 Reactions
Replies
Views
Igweeeeee Mfugaji aliyeko Dodoma na anauza kuku wa kienyeji, nahitaji matete 4 na jogoo moko, kwa ajili ya kufuga mbegu iwe nzuri. Mdondo umenisafishia banda!
0 Reactions
0 Replies
891 Views
saizi ni ulimwengu wa smartphone na internet tumia fursa hii kueneza biashara yako mikononi mwa mteja.natengeneza blog na android mobile app kwa bei nafuu mno na kuiweka playstore kabisa. blog...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari Wakuu, Natafuta taasisi au watu binafsi mwenye utaalamu wa kilimo au Ufugaji ambao watakuwa tayari kutoa Elimu kwa watu wenye interest ya kulima mazao mbalimbali au kufuga mifugo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari wanajukwaa, Nataka nianze mradi wa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa kwaajili ya biashara,naomba wenye uzoefu wa ufugaji huu wanisaidie kupata somo na mambo ya kuzingatia wakati wa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Najiandaa kuanza ufugaji wa kuku aina ya koroiler pamoja na wa kienyeji ifikapo mwezi wa sita Kama una uzoefu/ushauri kuhusu huu Mradi na namna ya kuuendesha kwa faida unakaribishwa uchangie...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Waungwana naamini hamjambo! Nitangulize shukrani za dhati kwenu wote mnaoutumia mda wenu vyema katika kuhakikisha yale mnayoyaelewa mnawaelekeza wengine. Leo nataka niwajuze kile nilichokiona...
11 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wanabody... Naomba KUJUA aina za ng'ombe wa maziwa na uwezo wao wa kutoa maziwa kwa siku.
0 Reactions
Replies
Views
Wasalam, Nataka Kuanzisha hii biashara huku mtaaani ila Naomba kujua Mawazo yenu na wapi nitapata hii bidhaa kwa urahisi na bei ya Chini UGORO (MKALI)
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mkulima mwenye uzoefu wa water pamp ya sola atujuze
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf hapa najua kuna wataalamu wa kilimo. Sisi Watanzania asilimia kubwa ni wakulima, hata uwe mfanyakazi wa ajira sehem fulani baadhi yao wanalima. Kinachoniskitisha hapa kwani tunashindwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Haiwezekani mtu anaomba msaada alafu watahalamu husika mpo kimya ivi kwastaili hiyo tutafika ayo mnayoleta nimambo yakitt MTU akiuliza anamaana yakua hajuui kitu so msaada wenu ndio nguvu kwawote...
1 Reactions
2 Replies
559 Views
Habari zenu wadau, naomba mnielekeze wapi naweza kupata ushauri makini wa ufugaji kuku na mbuzi. Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Habari wanajamvi, nimepitia makala ya faida ya kilimo cha miti ndani ya jamvi iliyochangiwa mwaka 2012,Naomba mwenye mchanganuo wa kina kuhusu faida ya uwekezaji wa kilimo cha miti anipatie na pia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
  • Redirect
Habari ndugu zangu, ninaomba kufaham kama suala la kufuga kuku wa kienyeji kwa muda mfupi kama wanavyofugwa kuku wa kisasa wa nyama linawezekana?. Nahitaji kufuga kuku wa kienyeji kuanzia wakiwa...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom