Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

HAKIMU WA KIUME ADAIWA KUJIGEUZA BINTI, AKAMATWA AKIMFANYIA MTIHANI MPENZI WAKE Hakimu mmoja nchini Uganda amefutwa kazi kutoka utumishi wa mahakama baada ya kukamatwa kwa kujifanya mwanamke ili...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Which nation Colonized Burkina Faso? The historical backdrop of Burkina Faso incorporates the historical backdrop of different realms inside the country, like the Mossi realms, as well as the...
1 Reactions
0 Replies
320 Views
Hatimaye, zama za mbabe wa siasa za jirani zetu pale Kenya bwana Raila Odinga, dalili zote zinaashilia zi-ukingoni. Kwa namna Rais Ruto anavyotaka kushughulika na mwamba yule, hakika, ni suala la...
2 Reactions
7 Replies
787 Views
Kwa mujibu wa Taasisi ya Parliament Watch ya Uganda, Maafisa hao wametajwa na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kuhusika na ubadhirifu huo, hivyo wanapaswa kujieleza kwa Umma juu ya sakata hilo...
4 Reactions
10 Replies
825 Views
Kutoka Uganda Polisi nchini humo wanamshikilia Mwanaume (23) na Mpenzi wake (35) kwa kosa la kuingia nyumba ya Jirani wakiwa wanatoka Baa usiku kisha kufanya mapenzi kwenye kitanda cha Jirani huyo...
5 Reactions
2 Replies
997 Views
Shirika la ndege la Uganda limeripoti kuongeza mapato kwa kuingiza zaidi ya Dola 67,137 kutokana na kusafirisha maiti za raia wa Uganda kurejea nyumbani tangu kuanza kwa safari zake takriban miaka...
0 Reactions
8 Replies
482 Views
Sakata la Waganda Kubambikiwa Watoto na kukimbilia Kupima DNA limechukua sura Mpya baada ya Mpinzani wa Siku nyingi wa Serikali Dr.Kiiza Besigye kukataa Kupima DNA akisema yeyote anaemuita baba...
5 Reactions
7 Replies
782 Views
Kampuni ya usindikaji wa maziwa ya Brookside Limited, nchini Uganda imepunguza zaidi ya asilimia 50 ya wafanyakazi wake kufuatia kushuka kwa bidhaa zinazouzwa nje. . Katika barua iliyotumwa kwa...
0 Reactions
3 Replies
555 Views
Ajali ya barabarani iliyohusisha lori na daladala kwenye barabara kuu ya Kagadi-Kyenjojo katika halmashauri ya mji wa Nyanseke-Muhorro, wilayani Kagadi. Ajali hiyo pia imewaacha wengine kadhaa...
0 Reactions
1 Replies
312 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, "Mchungaji Huyu Amefunga Kanisa Baada ya Kushinda Sh Milioni 100 za Uganda Baada ya Kucheza Sports Betting." Anakiri kusema kwamba alikuwa anakazana kutoboa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Raisi wa Uganda Yoweri Kaguta Mseveni amedai kuwa ameridhika na ufugaji wa ng'ombe wake nyumbani na hana tamaa na madaraka. Kiongozi huyo amesema hayo wakati akimpigia kampeni mgombea ubunge wa...
1 Reactions
4 Replies
366 Views
Naibu Spika wa Bunge Thomas Tayebwa ameiomba serikali kuzuia tovuti zote za ngono ambazo alisema zinawaweka watoto kwa taarifa nyingi zisizofaa. "Watoto wetu wanakabiliwa na katuni za...
1 Reactions
3 Replies
725 Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewataka wananchi wa Taifa hilo kutupilia mbali anaouita uzushi wa kuwa amefariki kutokana na Uviko-19. Hatua hiyo inakuja baada ya siku kadhaa kupita tangu Rais...
4 Reactions
6 Replies
819 Views
Renowned Ugandan businessman Apollo Nyegamehe has died after the car in which he was travelling rammed into a stationary lorry along Mbarara-Kabale highway in Ntungamo District. The ruling...
1 Reactions
2 Replies
636 Views
Uganda. Waumuni wa Kanisa la Bunyonga, kaunti ndogo ya Kayonza wilaya Kayunga nchini Uganda ambapo mwanaume na mwanamke walikutwa wakifanya mapenzi katika madhabahu ya kanisa hilo, wamefanya ibada...
1 Reactions
6 Replies
499 Views
Wapenzi hao wamekutwa wakifanya kitendo hicho eneo la Madhabau Nchini Uganda na kusababisha kikundi cha Waumini kadhaa kuapa kutoingia tena katika Kanisa hilo lililopo Wilaya ya Kayunga. Tukio...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Ni kauli ya Meja Jenerali Mstaafu Kahinda Otafiire, aliyewaomba Wabunge wa Uganda kuondoa bidhaa hiyo katika orodha ya Vilevi vilivyopigwa marufuku Nchini humo. Waziri huyo amesema, sidhani kama...
1 Reactions
7 Replies
825 Views
Kurugenzi ya Uraia na Udhibiti wa Uhamiaji ya Uganda (DCIC) imesema imepokea barua kutoka kwa Wanaume wasiopungua 32 wakitaka kufutwa kwa hati za kusafiria za watoto wao baada ya matokeo ya vipimo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Raia 26 wa Uganda wamefungua Kesi Nchini Ufaransa wakidai utekelezaji wa mradi huo (EACOP) kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga umesababisha Madhara na umekiuka Haki za Binadamu ikiwemo Haki ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom