Kuacha kazi si jambo dogo. Lakini zipo sababu kadhaa zinazoweza kukufanya uamue kuacha kazi. Mosi, kupata kazi mpya. Unapoitwa kuanza rasmi kazi uliyoomba, ni vigumu kuendelea na kazi uliyonayo...
Ewura tangu watoe tangazo lao la kazi mwaka jana(2016) October na deadline kuapply ilikua tarehe 15 Nov,,mpaka leo hawajaita watu kwenye interview,Tatizo ni nini??
Hello,
Nimemaliza chuo mwaka jana (2016)
Natafuta kazi ya kujitolea kampuni yeyote nina degree ya environmental studies
Pia naweza kufanya data collection,data coding and analysis by SPSS, EIA...
I Hold Bachelor's Degree In Mathematics (Bsc Maths) And I Have One Year Teaching Experience In Secondary Level. If There Is Any School Which Needs Mathematics Teacher Please 'PM' Me.
Calnej general supply.
Ni kampuni inayodili na uuzaji wa jumla wa mikanda ya gypsum pamoja na angle(kona) za gypsum pia pamoja na gypsum body zenye,
Hivyo tunaitaji kijana yeyote (me/ke) kwahajili...
Habari wakuu...Mimi ni Mchumi mwenye Digrii mbili za Uchumi. Natafta kazi (Part Time) ya kufanya Uchambuzi wa Maeneno mbali mbali ya Uchumi, Kijamii n.k. Nina uzoefu wa kufanya Uchambuzi...
Naomba kwa yeyote mwenye shule ya secondary ya private aniajiri kwa mkataba wa miaka 2 au 3 .ni mhitimu wa shahada ya elimu .nafundisha geography na history.kwa mawasiliano ni PM .
Wapendwa wasaka ugali . hivi kuna mtu anajua chochote kuhusu interview ya Bank Tellers Mtwara (NMB), mm naona kimya sjui wenzangu mshaitwa???? tujuzane please
Nilikuwa nataka kutafuta kazi kwa njia ya mtandao katika mashirika haya;
1.TPC Moshi
2.Pepsi Arusha
3.Serengeti Moshi
4.SBL Arusha
5.Idara ya Maji Moshi
6.Idara ya Maji Arusha
Naomba kuweza...
Hi all
Am John Toss, a holder of Bachelor degree-Accounting.
Strong in ERP software (SAP and ORACLE 6i), Quick book, Focus, Peachtree and Wings Ex.
Having over 3 years of Experience in the...
Habarini watuu,kuna muda ulikuwepo uzi hapa ukitoa taarifa kuwa majina kwa zile ajira 192 yametoka, na kukawekwa link ambayo nazani ni ya matabibu wasaidizi tuu,kwa mwenye link ya wauguzi pia...
Monday, 5 December 2016
FullStack developer for SafeMotos
Duma Works is recruiting a FullStack developer for SafeMotos in Kigali, Rwanda.
SafeMotos is a safer Uber for Africa’s motorcycle taxis...
Habari za mwaka mpya wakuu, bila Shaka ni wazima kabisa wa Afya na poleni kwa majukum ya kila siku.
Katka mizunguko yangu ya hapa na pale Nilipata safari moja ya kwenda Morogoro sehemu moja...
Anahitajika mtu wa kufanya kazi kwenye Vodashop .
Sifa;
Awe anakaa mbezi au kimara..
Awe na Elimu ya form 4
Ajue kuongea kiingereza
Awe msichana wa miaka 18 mpaka 30.
Mawasiliano 0715407508
Nina elimu ya Masters ya Project Management. Postigraduate ya Public Health. Bachelor ya Sociology. Uzoefu wa miaka 5 ya Monitoring and Evaluation!.. Na uzoefu wa miaka 7 ya masuala ya utafiti...
Habari ndugu zangu" naomba kama kuna mwalimu anaweza mfundisha mtoto wangu nyumbani anitafute" mtoto ana miaka 3 na nusu" alikuwa anasoma lakini nafanya.
Taratibu za kumtafutia shule nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.