Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi...
kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu...
Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?
Tulinganishe na...
Kitengo cha Huduma za Ajira kinapenda kuwatangazia wateja wake wote kua kuanzia sasa Registration itafanyika through NLMIS
Kama uliwahi kujisajili kwa kwenda physically ofisi za TaESA au...
Habari zenu ndugu zangu wa jamiiforums.
Kesho (30-03-2021) saa 4 asubuhi ninaenda kufanya "Oral Interview" kwenye N.G.O moja huku Dar. Niombeeni kwa Mungu ndugu zangu mtaani maisha ni magumu...
Ndugu zangu, hali ya ajira nchini ni mbaya sana. Idara ya Uhamiaji imetangaza nafasi za kazi 70 kwa wahitimu wenye shahada moja na kuendelea. Matokeo yake, baada ya mchujo wa majina zaidi ya...
Naomba kujuzwa chimbo la vibarua hapa mjini ni wapi? Na kazi zipi za part time hapa bongo? Kuna mtu nlimsikia kuwa posta karibu na clock tower kuna sehemu watu wanakusanyika kusubiri vibarua na...
Habarini za wakati huu?
Kutokana na wadau wa jukwaa hili uwa bize na upendo wa baadhi ya kazi zinazotafsiriwa kama zenye kipato uzuri na kwa kiwango iubwa wadau na watafutaji wamekuwa hawaipi...
Wakuu habari,
Naomba kufahamishwa kiasi cha mishahara kwa wafanyakazi wa TRA wa ngazi zote kwa ujumla. Hususani naomba kufahamishwa mshahara wa TRA kwa custom officer au Tax officer mwenye degree
Amani naiwe kwenu.
Nimejaribu kumjazia mdogo wangu maombi ya ajira TAMISEMI kwenye system yao ya OTEAS, lakini changamoto ninayoipata ni kwenye attachment.
Kila nikijaribu ku-upload attachment...
Wengi wetu tutakuwa mashahidi kuna taarifa zinasema kuwa ajira za walimu na afya zitatangazwa wiki hii na kesho ndio uwezekano mkubwa wa kutoa majina kwa hivyo uliyeomba sali leo kweli kweli...
Naona kuna jamaa hapa kijiweni alianzisha mjadala huu kwamba kuna watu wanavuta zaidi ya mshahara tajwa.
Tiririkeni wadau.
Kwa watoa povu kama unaoma maada haikufai mlango upo wazi nenda...
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa...
Habari wana JF.
Mawakala wa ajira za walimu tanzania "Teachers junction" kuanzia sasa tutakuwa tunaweka updatz zetu humu. Hivyo walimu, wasokuwa walimu bali wamewahi kufundisha na wenye nia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.