Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

Habari za wakati huu wana Jamii Forums, Kwa mtazamo wangu kuchepuka ni tabia ya mtu inayotokana na kuendekeza tamaa za mwili, ndiyo maana wanasaikolojia wamethiibitisha hilo kuwa ONCE A CHEATER...
4 Reactions
6 Replies
506 Views
Hello! Jf members ! Karibu kwenye uwanja huu tukutane wanasaikolojia, wahitimu na wanaoendelea na masomo ya saikolojia! Psychology is the study of human mind/brain and behavior (saikolojia ni...
9 Reactions
151 Replies
18K Views
Ndugu zangu za ASBH, najua wiki imeanza na kuna watu Ijumaa na Jumamosi wanatarajia kuoa. Vyema, nkasema niwashauri bado wana nafasi ya maamuzi hizi siku 4-5 zilizobaki. Kama unahisi hauko tayari...
11 Reactions
53 Replies
983 Views
Angalia huyu kijana anachosema,
9 Reactions
24 Replies
1K Views
Katika Dunia, kuna mengi ila mume/mke ulie nae, unaeza kuta katika ukweli wa ndani wa moyo wake wala wewe ulie nae sio chaguo lake, ila yuko na wewe ili mladi tu maisha yaende. Yaani unaeza kuta...
2 Reactions
5 Replies
204 Views
Aisee hawa wanawake ni hatari. Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa...
86 Reactions
245 Replies
8K Views
  • Redirect
Haya mahusiano kwa kweli hayakuwa na tija kwangu. Nikitaka K nalipia yeye akitaka MBO_ o Nalipia. Yaani napigwa ndani nje. Sikuona faida. Binti nimemfahamu ndani ya siku mbili tu tayari anaanza...
0 Reactions
Replies
Views
Wakuu Habari zenu! Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela. Jamani tabia hii kwa...
25 Reactions
796 Replies
30K Views
Mungu hakika jabali Muumba, Allah, Jalali Kamuumbia mja akili Yake pekee si ya wawili Uko na wako mwandani Mwanyegezana kitandani Watazama ute ute kidoleni Naye mwali aupepea ukuni Wote...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto. Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume. Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine...
11 Reactions
46 Replies
807 Views
Watu wengi hujikuta wanawaacha wachumba ambao wanawapenda na ambao wanaendana kwa kigezo cha dini. Dini haina uhusiano wowote na kumfanya MTU kuwa na hofu ya MUNGU, utu hekima wala maarifa...
13 Reactions
24 Replies
507 Views
Habari ya Asubuhi Wanajamvi, Poleni na Majukumu ya Weekend na Mliofanikiwa Kwenda Sehemu za Ibada, Mungu Awabariki. Nirudi kwenye Mada Kuu Mnamo J Nne Nilikutana na binti ambae Tulikua tunachat...
18 Reactions
136 Replies
3K Views
Habarini zenu, natumaini mu wazima wa afya. Siko vizuri kwenye kuandika lakini muhimu ni nyie kuelewa ninachohitaji na kutoa maoni yenu. Kuna binti nilikua nae kwenye mahusiano lakini hatukuwahi...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Uzi umefutwa maana unaharibu biashara za watu.
19 Reactions
31 Replies
1K Views
Ndugu wana jf . Hawa dada zetu wamejiachia sana na kupoteza usichana (bikra ) kizembe kizembe sana kwa tamaa za mali na maisha mepesi mepesi. Na baada ya kupoteza ubikra wao ndiyo wanajifanya...
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Hivi unaamini mapenzi siyo ku cheat ndo utamu utaisha? Mnaweza mkawa mna cheat na mapenzi yakawa matamu. Shida ni kuchokana, hapo ndo mwisho wa penzi.
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Naomba tutoe ya moyoni ili kuponya walio nyuma yetu wasifanye makosa na kuifanya ndoa kuwa taasisi imara zaidi. Nilichokuja kugundua kuna mengi waliotangulia hawakuniambia ukweli na sijui ilikuwa...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Kwema wakuu? Mwenzemi mepatikana aisee nina mwanamke huyo ni mbishiii na mjuaji anapenda kushindana saana na mimi yaaani nashindwa kumuelewa Ila nikimzimgua kidogo tuu kuachana ananza kulia...
12 Reactions
84 Replies
6K Views
KAMA LENGO LAKO KUU NI KUZAA ILI WATOTO WAJE KUKULIPA FADHILA KWA MALEZI YAKO BASI NAKUSHAURI HAIRISHA KUWA MZAZI KWA SABABU WEWE NI MJASIRIAMALI NA SIO MZAZI. Ni ushauri tu sio lazima ufuatwe...
5 Reactions
29 Replies
868 Views
Upo zako unagonga menu, mara Paap watu usiowajua wanatolea udenda msosi wako. Utafanyaje?
8 Reactions
10 Replies
282 Views
Back
Top Bottom