Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Ndugu wana jf .
Hawa dada zetu wamejiachia sana na kupoteza usichana (bikra ) kizembe kizembe sana kwa tamaa za mali na maisha mepesi mepesi. Na baada ya kupoteza ubikra wao ndiyo wanajifanya kuchagua mwanaume sahihi huu ni uongo kabisa.
Nipende kuwaeleza ukweli mwanamke ukishapoteza ubikra wako hunathamani tena ya kuchagua mwanaume maana sisi tunajua kabisa kuna njemba limeshapita hapo na hakuna kigeni wala ile thamani haipotena.
Ukiwa siyo bikra usichague wanaume utazeekea nyumbani huku una chezewa na wahuni alafu uje hapa useme wanaume wote ni wu-u-- wu-u. Chagua mwanaume ukiwa bado bikra na hakikisha ndoa imefungwa ndiyo atindue.
Ukishindwa kuchagua ukiwa bikra sahau kuchagua ukiwa umeshatumika.
Tunzeni usichana wenu acheni kuwehuka
Hawa dada zetu wamejiachia sana na kupoteza usichana (bikra ) kizembe kizembe sana kwa tamaa za mali na maisha mepesi mepesi. Na baada ya kupoteza ubikra wao ndiyo wanajifanya kuchagua mwanaume sahihi huu ni uongo kabisa.
Nipende kuwaeleza ukweli mwanamke ukishapoteza ubikra wako hunathamani tena ya kuchagua mwanaume maana sisi tunajua kabisa kuna njemba limeshapita hapo na hakuna kigeni wala ile thamani haipotena.
Ukiwa siyo bikra usichague wanaume utazeekea nyumbani huku una chezewa na wahuni alafu uje hapa useme wanaume wote ni wu-u-- wu-u. Chagua mwanaume ukiwa bado bikra na hakikisha ndoa imefungwa ndiyo atindue.
Ukishindwa kuchagua ukiwa bikra sahau kuchagua ukiwa umeshatumika.
Tunzeni usichana wenu acheni kuwehuka