Jamani nimesoma article moja mtandaoni, inasema masturbation ni normal and natural kwa wanaume na inashauriwa kiafya mtu afanye mara kwa mara na akishindwa kabisa afanye japo mara moja kwa mwezi...
Msichana aliyechomwa kwa tindi kali abahatika kupata mchumba India
Muathiriwa wa shambulio la tindi kali India, Lalita Ben Bansi alicheka kwa furaha katika harusi yake mjini Mumbai wiki hii...
Mi nitaendelea kuwashauri dada zangu mambo mema wayapasayo kutenda, nimekuwa kwenye mahusiano kwa miaka isiyopungua 30 nina wafahamu wanawake kwa kiasi flanu, moja ya tatizo kubwa ambalo linawawia...
Leo muda huu huu tu si mrefu katika pita pita zangu maeneo niliweza kusimama katika Pub moja hivi na kunywa Soda ( Team Inzi ) huku nikitafakari shida za mjini na nikipanga mikakati ya Kimaisha...
Nawasalimia.
Kwa mlio tanga mtakuwa mmesikia habari inayovumishwa na mashilawadu wa mtaani kuhusu tukio lililotokea huko korogwe ktk kijiji cha mashewa mitaa ya kwa mzee shed.........
Kuna...
Yamenikuta bandugu,
Nimemchumbia binti mmoja nataka nimwoe, na tayari kishika uchumba nimetoa na mahali nimepangiwa.
Mwezi wa sita mwanzoni ndo nataka nipeleke. Sasa shida inakuja, Mimi niseme...
Habari wana jamvi; kwa mara ya kwanza leo nimejitokeza kwenu nikiomba ushauri ktk hili munisaidie,
Ninaishi na mwanamke ambae kiimani hatutafautian bali dhehebu ndio tunatofautiana, yy...
Vijana wenzangu unapoamua kuoa mrembo, msomi na binti wa digital, lazima ukubaliane na haya;
1. Wasichana wengi sasa hawajui kupika. Wanajifanya wamechoka nitanunua msosi sana tu, tena usipokaza...
MAPENZI! Hivi umeshawahi kukaa chini na kujiuliza kwamba, kama yasingekuwepo mapenzi ulimwenguni binadamu wangeishi vipi? Kimsingi ni swali gumu na hakuna anayeweza kulitolea jibu la moja kwa...
KATIKA MAISHA YA KIMAPENZI HAKUNA KITU KINACHOUMA KAMA KUSALITIWA, TENA KUSALITIWA KUNAKOUMA ZAIDI NI PALE UNAPOBAINI MPENZI WAKO KAMPA PENZI MTU UNAYEMJUA HALAFU UKIJILINGANISHA WEWE NA HUYO...
Salaam wakuu
Mada yahusika
Mara nyingi tumesikia kwamba wadada wengi wanaovaa cheni mguuni/ kuku ni kiashiria kwamba wanaliwa nyuma a.k.a tiGo a.k.a Kusukumwa tope
Sasa katika mjadala flani...
Poleni na majukumu,
Mwanamke anaweza kuishi kwenye Ndoa/Mahusiano bila ku cheat kwa asilimia 99 & Wanaume wanaweza kuishi kwenye Ndoa/Mahusiano bila ku cheat kwa asilimia 1 kwa sababu ni nature...
Jamani naomba mnisaidie tabia za huyu mwanamke kabla sijafika mbali. Mavazi yake siyaelewi kabisa mda mwingi anavaa mashati ya kiume, yani atavaa suruali ya kike /sketi juu anavaa shati la kiume...
Habari wana-JF
Katika u-bachela nimekumbuka mambo ambayo nilikuwa naona uvivu sana kuyafanya kama vile;
1. Uvivu wa kufua Shuka, yaani shuka sifui au kubadilisha hadi siku nina ahadi na kamanzi...
Anahitajika girl mwenye nia na malengo ya kuishi na mume awe na nia ya kweli,umri kuanzia miaka 20 -26 sura haizingatiwi ila nice shape and and awe na bright future
Kama uko tayari ni pm tu sms...
Hamjambo ndugi zangu za masiku nimeona nije tena humu nimezidiwa na mawazo na matatizo mengi labda kati yenu anionyeshe njia ya kwenda kupata haki yangu na watoto, nazani story zangu mnazijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.