Habar za Asubuhi wana MMU .
Kuna rafiki amekuja Jana ananisimulia kwamba alienda kwa boyfriend wake wakati anapanga panga vitu ndani akakutana na chupi za mwanamke, kwa hasira rafiki yangu...
1. Wasiliana nae kwa upendo na adabu. Usiongee nae kwa hasira, dharau na kejeli.
2. Mwache ajue kwamba yeye ni wa muhimu kwako. Kila siku muonyeshe hilo.
3. Elewa hisia zake, hata kama mtakua...
Salam alekyum!
Labda nisiandike sana, nianze kwa kuuliza hili swali. Je kuna uhusiano wowote wa hizi sikuu za id na kurudi kwa mapendo kwa wapenzi wetu hata kama ni wale tuliokwisha achana nao...
Yule mdada uliyekuwa unambully sana boarding school, wakati huo wewe dorm leader, kosa dogo tu amechelewa kwenda prep unampiga adhabu ya kupiga deki wiki nzima chooni.
Miaka imepit a, kitaa...
Habari Wakuu.
Uchawi ni moja ya Mila mbaya katika Jamii nyingi. Pamoja na ubaya wake lakini yapo makundi ambayo yana uwezekano wa kutumbukia katika shimo hilo la Uchawi.
Moja ya Makundi ambayo...
Kwa upande wangu, aliniona na mchumba wangu sokoni, alitufatilia kwa nyuma mpaka nyumbani. Akaanza kugonga mlango, sikufungua mlango baada ya kufahamu ni yeye. Akaenda kuzima generator...
Habari wanajamii forum.
Nimekua sitosheki na mwanamke mmoja hata nimpende vipi, yani tena nikishamzoea ndo naona kero kabisa natamani kumuacha au kumuongezea mwanamke mwingine.
Nimekua na hamu...
Kwani hizi pipi za mwaka gani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alaf wanaotunga ndo wale wanao omba wapate mke au mume alafu kama mungu vile awaoni achane hizi mambo
Poleni kwa majukumu ya kila siku,
Huwa napenda kujifunza mengi pia humu JF ila hili nimelikuta mahali nikasema si mbaya nikashare na nyie kuna ma shostee walio kua wanadai kuwa kwa wale wanaume...
A study has discovered females who have attended secondary school, college, and have obtained an Undergraduate or Masters degree are more likely to stray from their partners, same goes for men as...
Wadau kumekua na katabia kale ka kujirekodi mfanyapo tendo la ndoa sasa imagine siku moja hizo video zimevuja zipo mafacebuk instagram na mawatsapp hvy utajionaje, utafanya nini na ukizingatia...
Wadau,
Naomba mnisaidie jambo hili.
Kaka familia nyingi (baba, mama, watoto na ndugu /jamaa) wanapokuwa wamechuma mali, na kwa bahati mbaya baba akafariki, mali inapobaki mikononi mwa mama na...
Ni kama vile hili janga linaenda kua la kitaifa sasa ..ukipita mitaa mingi pia kwenye maredio, magezeti, kwenye mitandao utakutana na mabango mengi tunatibu (nguvu za kiume)...
KATIKA jamii kwa sasa kumekuwa na wimbi la watoto wanaolelewa na mzazi mmoja kutokana na sababu mbalimbali.
Katika nyakati hizi, idadi ya watoto ambao wanakuwa katika familia zilizo katika...
Imesemekana kwamba ikiwa familia yenye wazazi wote wawili ingelinganishwa na mnyama, basi huenda mnyama huyo angekuwa katika orodha ya wanyama wanaokaribia kutoweka. Fikiria: Kuna zaidi ya familia...
Mimi leo kuna kitu nimecheka kuanzia mchana mpaka muda huu nikifikiria nacheka sana ,nyie acheni yaan sijaamin nilichoona na wala sijawah kufikiria aisee ,watu wa humu mnachekesha sana aisee...
Huwa mnatumia mbinu gani kwa watoto ambao viwango vyao kielimu (darasani) wanashuka. Yani hapandi au ana mantain hapo hapo.
Napata shida nina mdogo wangu (ke) yani hapandi. Na wastani wake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.