Habari za jioni wana MMU. Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Kuna swali hua najiuliza sana ila leo nataka nipate mawazo ya wengi katika hili.
Wanaume tumekua tukiona fedheha sana kukaa kwa...
Habari wanajamii forum
Katika maisha haya ambayo tunaishi nimegundua wanaume wengi tunashindwa kupata wanawake kutokana na sababu kuu mbili ambazo mimi nimeziona .Kuna aina mbili za wanawake ambao...
Habari wana MMU.
Kama mada tajwa hapo juu inavyosomeka.
Mimi naitwa #Poise, ni ME.
Nimekuja rasmi humu MMU baada ya kutendwa na mada za Siasa .
Yaani, hasa matamko ya mtu wa taratibu...
Nakumbuka ilikuwa form 4 tulipanga gheto tukiwa masela 3. Hapo shuleni kuna msichana nilikuwa namuongelea sana nikiwa gheto na masela kama namuelewa na ni mzuri sana, hii ilikuwa karibia kila siku...
Habari zenu ndugu, poleni mliotendwa na mliozitumia zote siku ya Eid mkasahau kuna maisha baada yake. Pia hongera zenu mlioanzisha mahusiano siku hiyo maana kuna wanawake unaweza fukuzia mwaka...
Mama lyampopo najutia kwa yote niliyokutendea,ni wiki ya pili sasa toka umeniacha na kutoroka wakati nikiwa nimejifunika gubigubi alfajiri ya kudamkia mnadani.
Mama lyampopo usomapo ujumbe...
Hii familia ninaifahamu walipenda sana watoto wao wapate elimu nzuri. Walitafuta English Medium Schools walipata lakini gharama za ada na school bus pamoja na pesa ya lunch shule wazazi wote...
Wanajukwaa hope wote ni wazima kiafya na kimaendeleo
Mwenzenu naumizwa sana na mapenzi
Kuna mkaka alikuwa rafiki yangu tukiwa wadogo age ya primary tumekuja kupana kwa simu ukubwani tukatamaniana...
Kuna girl mmoja nipo naye at least two years, sasa kma wiki mbili akanigeukia kabisa kila jambo nikimwambia anasema no, tena akaniambia nitafute mwanamke wa kuoa ila yeye anitaki.
Dah niliumia...
ENZI ZETU
Mpenzi wangu nikupendaye kwa dhati.
Salamu nyingi sana zikufikie huko ulipo. Utakapo kujua khali yangu mie ni bukheri kabisa. Hofu na mashaka ni juu yako ewe mpenzi wangu uliye mbali...
Nisiwachoshe sana mada tajwa hapo juu...aisee ni six months sasa nadate na kadem fulani hivi...keupe,karefu,model na dizain fulan hi ni kafundi pande zile,toka nimedate nako upendo kwangu unazid...
Salam!
Kichwa cha thread cha husika.
Swali langu ndio hill, he unajisikiaje pale unaposhuhudia post za mkeo/mumeo,/mpenzi wako zikielezea matatizo yako/yenu kwenye social networks hasa hapa JF...
Salaam ndugu zangu
Wiki iliyopita nimeleta tatizo langu hapa linalohusiana na mimi kujikuta ni mhanga wa kufanya tendo la ndoa na wasichana wengi, na pia nilikuwa nashindwa kujizuia kuacha kufanya...
Wana Jf habari zenu,
Juzi nimekuja hapa Mwanza kikazi, niliingia jumatano.Siku ya jumanne nikiwa nyumbani Dar nilimjulisha rafiki wa tangu utotoni kuwa nakuja Mwanza kikazi, yeye anaishi Mwanza...
Dah wadau msaada wenu kuna dem nilikuwa namfukuzia sasa kila nikitaka nionane nae bila ya yeye kujua inashindikana sasa siku ikabidi niombe namba yake, siku napewa ile namba kumbe haikuwa yake...
Inatokea mwanamke upo serias kutafuta mwenza humu anakufata mtu kwenye email na kuanza mahusiano na wewe kumbe yupo kwenye ndoa.
Sasa mtu akiamua kukuharibia na kukutangaza kwa kuweka mawasiliano...
Sharti moja lililowashinda waganga wengi wa kienyeji ni utamanifu na kushindwa kuidhibiti tamaa hata kumtongoza mteja....akithubutu kufanya hivyo anajimaliza mwenyewe
Hapa nazungumzia wale ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.