Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Umri wangu ni miaka 45, Hali yangu ya kindoa ni mtalaka, watoto wanne, Kila mmoja na mama yake, na watoto wote wako kwa mama zao. Kazi nafanya, Hela napata, pombe nakunywa. Mambo ya mabebzi labda...
41 Reactions
113 Replies
3K Views
Awe na sifa hizi ✓awe mrefu wa wasitani ✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde ✓Asiwe na mtoto ✓Elimu kuanzia kidato cha nne ✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya ✓umri miaka 23 Hadi 27 ✓Awe...
0 Reactions
43 Replies
761 Views
Habari zenu wana Jf, Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo; Umri : 34 - 40 Dini : Mkristo Elimu : Awe na Digrii na kuendelea Awe ameajiriwa...
27 Reactions
336 Replies
10K Views
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mme mwenye hofu ya Mungu, awe na sifa zifwatazo: Asiwe mwenye kutumia bangi, sigara au kilevi chochote. Awe mwenye urefu kwanzia 5.9ft kuendelea Awe msomi...
20 Reactions
139 Replies
7K Views
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii...
16 Reactions
189 Replies
10K Views
Hello everyone, Natafute mtu wa kufunga nae pingu za maisha. sifa zangu, umri miaka 24, kabila mnyambo, dini mkristo, rangi yangu chocolate naishi Dsm Tabata, elimu yangu ni chuo, kwa sasa...
25 Reactions
117 Replies
19K Views
Habari jf team. Nimechoka na maisha ya upweke. Finally, nimeamua kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa future yangu na familia ambayo Mungu atanibariki. Natafuta MWANAMKE ambaye anahitaji...
4 Reactions
46 Replies
929 Views
Uwanja ukowazi. Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa. Sifa zangu: Umri : 50 Elimu: shahada 1 &2 Kazi: Mfanya biashara Dini: Mkristo...
15 Reactions
221 Replies
4K Views
Hi mimi ni dada, natafuta marafiki wa ku chat nao siishi TZ na kuna muda na tu unatamani tu kupata wa nyumbani kuongea nae na ku exchange mawazo na uzoefu. Any age, and gender karibuni. Sina...
6 Reactions
24 Replies
793 Views
Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar Umri 20-35. Umri wangu 32. Asiwe slay queen. Ajue thamani ya mwanaume Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
7 Reactions
50 Replies
766 Views
Awe muislamu Umri 20-30 Hajawahi kuolewa kama ana mtoto asizidi mmoja kabila lolote lile. Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea. Sifa zangu Umri 33 Mtumishi serikalini Sijawahi kuoa Mengine...
3 Reactions
16 Replies
519 Views
Hello! Jf family I'm looking for matured women to start a new life chapter with. I'm Christian, 35 yrs with one kid, if you're interested and you're 24 -30 yrs please leave a message in...
8 Reactions
30 Replies
658 Views
Hellow guys😁
5 Reactions
102 Replies
1K Views
NATAFUTA MKE UWE UNAISHI DAR UWE KABILA LOLOTE KASOLO MUHAYA UWE MKRISTO KAMA SIO KUAJILIWA UWE UME JIAJILI UMRI 25_32
8 Reactions
106 Replies
3K Views
Habari za saa hizi. Mimi ni kijana naishi dar. Umri 32. Natafuta mwanamke kwa nia ya uchumba tukienda sawa awe mke. Awe anaishi dar Umri 20-36 usizidi zaidi ya hapa. Aelewe thamani ya...
0 Reactions
4 Replies
221 Views
Nahitaji Mke Sifa awe na degree ya pharmacy Awe na umri wa kuanzia 30 – 37 Akiwa Muislam itakuwa poa zaidi Awe anajitambua Nimeweka hiyo sifa kwa kuwa natamani ahudumie watu upande huo hivyo...
3 Reactions
13 Replies
888 Views
Nahitaji mwanamke HIV positive, umri 23-30, haijalishi kabila na elimu, ikitokea ana mtoto asizidi 1.
3 Reactions
3 Replies
158 Views
A/alleikum Naitwa Bakari Hamisi mkazi wa Dar es salaam. Umri 32 miaka. Kazi: Muajiliwa (Electrical engineer) Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke kama tukiridhiana Sifa Uwe Muslim Elimu yoyote...
5 Reactions
53 Replies
1K Views
Ni maamrisho ya Mungu,ni lazima muoane,msidanganywe na hadaa za walimwengu
1 Reactions
2 Replies
150 Views
HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI -Mimi ni mwanaume Umri wangu ( 30.... ) -Kazi, Nimejuajili -Makazi : Dar es salaaam SIFA ZA MWANAMKE -Awe anajitambua -Awe Msafi -Awe na upendo wa dhati -Asiwe na...
2 Reactions
0 Replies
154 Views
Back
Top Bottom