Safari hii umri nimezingatiwa ila kutokujua thamani ya mwanaume kumenikosesha mchumba
Hawa wengi wao wanachangamsha jukwaa, wanatafuta watu wa kuchit chatHuwa nashangaa mtu kutafuta mke au mchumba mitandaoni nachojiuliza kuanzia kazini, mtaani,barabarani au hata sehemu za starehe kama ni muhudhuriaji wenza wanakosekana, au kuna kitu hakipo sawa?
Safi*Ajue thamani ya mwanaume(Mwanaume anahitaji matunzo)
Ebu njoo inbox Kwanza 😎😎.Safari hii umri nimezingatiwa ila kutokujua thamani ya mwanaume kumenikosesha mchumba
Mmm hivyo tu, just like that, then you are not seriousMimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar
Umri 20-35.
Umri wangu 32.
Asiwe slay queen.
Ajue thamani ya mwanaume
Mkuu umefunga pm halafu unasema nije inbox, nakuja kwa kuruka auEbu njoo inbox Kwanza 😎😎.
Ipo wazi mkuu 24/7days/365½days 😎😎Mkuu umefunga pm halafu unasema nije inbox, nakuja kwa kuruka au
Yaaah ni possible hayo yote unayo waza mtaani kuna mengi..Huwa nashangaa mtu kutafuta mke au mchumba mitandaoni nachojiuliza kuanzia kazini, mtaani,barabarani au hata sehemu za starehe kama ni muhudhuriaji wenza wanakosekana, au kuna kitu hakipo sawa?
kutongoza live siyo jambo jepesi. Mitandao imekuwa msaada kwa domo zege!Huwa nashangaa mtu kutafuta mke au mchumba mitandaoni nachojiuliza kuanzia kazini, mtaani,barabarani au hata sehemu za starehe kama ni muhudhuriaji wenza wanakosekana, au kuna kitu hakipo sawa?
mwanaume anahitaji heshima*Ajue thamani ya mwanaume(Mwanaume anahitaji matunzo)