Nafikiri mkopoa kabisa
Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa
Mahitaji
Ndizi...
Kwanza lazima tukubaliane kuwa hakuna mfanyabiashara anayependa hasara iwe ni hotel mgahawa au bar kubwa zikiwemo take aways. Wote hawa hutulisha ndaza na viporo.
Ni mara chache nno kuona chakula...
Wakuu!
Hii kitu inayoitwa halua ambayo inasifika sana hasa maeneo ya Pwani na Zanzibar kiukweli imekuwa overrated kwani nimeijaribu na nimeshangaa kuiona ina ladha mbaya ukichanganya na...
Habari wakuu, kwa wale wadau wa hii nyama yetu pendwa, ngoja leo nikupe mbinu.
1. Nunua nyama yako, ni vizuri kama atakukatia katia pale.
2. Weka nyama kwenye sufuria, weka na maji, halafu anza...
Kuna hii mishikaki inauzwa Mida ya jioni 200 jamani ni mitamu sijui wanatiaga viungo gani nyie na ile pilipili yake 😋😌😂
Kuhusu suala la nyama me selewi ni nyama ya nini kuna watu wanasema ni ya...
Mambo vipi wanaJF natumai mko poa. Kwenye misosi kuna kuwa na kile chakula una hamu nacho au tu umekuta sehemu kimepikwa kwasababu hujawahi kula unaamua kula huo msosi kwa mara ya kwanza lakini...
Wasalaam,
Mwenye ujuzi juu ya utengenezaji wa ubuyu wa vipande naomba dondoo, nimepitia Youtube kila nikijaribu holaa!!
Tutafute namna ya kuongeza kipato [emoji120]
GET A JOB SPELL
Are you one of those people that are struggling to take care of themselves and their families? Have you been looking for a job and you don’t find one? Are you thinking that you’re...
Habari zenu, natumai mpo salama. Mara ya mwisho nilitengeneza white sauce na leo napika bagia za dengu.
Ukitaka kuangalia video ya haya mapishi unaweza kuangalia hapo chini. Ukipenda unaweza...
Mahitaji
Maini ya kuku 1/2 kilo
Vitunguu vikubwa 2
Hoho 1
Pilipil 1
Limao 1/2
Swaum/tangawizi 1 kijiko cha chai
Curry powder 1/2 kijiko cha chai
Mafuta ya kupikia
Matayarisho
Safisha maini weka...
Nimenunua njugumawe nusu kilo.
Huku Makongo Juu wanauza 1 kg = 3,400
Nikachambua, nikatia kwenye thermos flask kisha nikaweka maji ya moto (100°c), nikafunga chupa. Hapo ilikua saa tatu usiku...
Vipimo
Kuku - 3 Lb
Mayai - 6
Baking Powder - 1 kijiko cha chai
Pilipili boga - Robo kipande
Kitunguu maji - 1 kidogo
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu) na...
Mahitaji
Unga wa ngano kilo 1
Amira vijiko 2 vya chai
Sukari vikombe viwili vya kahawa
Vanila ya unga nusu kijiko cha chai
Chumvi nusu kijiko cha chai
Nazi 1 tui zito
Mafuta lita 2
Maelekezo...
Wakuu nipeni ujuzi hapa,
Kila siku nikipika wali kwa kutumia jiko langu la Gas naona unanisumbua sana, kwanza hauivi pia unaungua sana chini ya sufuria, nimewaza hadi kununua Rice cooker Wenda...
Choroko ni moja kati ya nafaka zenye kiwango kikubwa cha protini, madini ya phosphorus na calcium. Ukiachilia mbali faida nyingine, virutubisho hivi ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya ubongo...
Chefs,
Juzi kati hapa nilipigwa na Homa moja matata sana hadi kupelekea kulazwa Hospitali. Ashukuriwe Mwenyezi Mungu na Madaktari kwa sasa homa imeisha. Hii homa ilipelekea kupungua sana kwa...
Haya kama ulikuwa unataka kufahamu pishi fulani namna ya kuliandaa ili kulifanya futai na lisilo futari niulize ikiwa nalifahamu nitakujuza hapahapa namna lipikwavyo. Karibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.