Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
MSUTAJI AKISUSA. 1)Samani poleni sana,japo yaweza kuuma. Ila nikuchukizana,mdomo waweza sema. Kwa bidii kukazana,bora ninene mapema. Msutaji akisusa,msutwaji hufurahi. 2)jasiri...
0 Reactions
0 Replies
682 Views
Qui Parle le fran?0?4ais bien? Je manque bien de parler cette langue.?0?4a c'est pourquoi j'ai decid?? d'??crire en cette nuit comme ?0?4i.soyez les bienvenus.......!!!!! Que Dieu vs bennisse mes...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
CHAMROHO CHAMROHO. 1)Kapu lake mkononi,njiani ajizungusha. Na mi mate i tumboni,usoni kajikausha. Kwa mbali yu taabani,siri anasikitisha. Chamroho chamroho,mate taka mdomoni. 2)mate...
0 Reactions
0 Replies
519 Views
TUMBUA MAJIPU. 1)Ukweli yanaumiza,maumivu ni makali. Ni lazima kumaliza,tena kuyatupa mbali. Na dawa yake fukiza,hata kama njia ghali. Jembe tumbua majipu,tumbua usiogope. 2)Wengi...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
EMBE CHEREMA LAOZA. 1)umepata mkataji,mti pale ulikwepo. Wakaufanya mtaji,virukaruka vipopo. Waze wakuda wa jiji,wafa kuitwa makopo. Embe dodo licherema,laiza likilalama. 2)embe leo...
0 Reactions
0 Replies
664 Views
Ifuatayo ni sehemu ya shairi liloandikwa na Idd Ninga likijulikana kama tatizo ni baba mkwe ,unaweza kutoa maoni na ushauri wako. 1>tatizo ni baba mkwe,mke amenibania. Sipendwi na wangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KISOGO MCHAWI? 1. Natoa kingilambago, nisikizwe kilingeni, Simtaki jini kago, maalim Subiani, Namtaka Mwinyimbago, kibokoye Makatani, Vipi iwe tafarani, alipowapa kisogo. 2. Fundi kalia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
PUNGUZA TUI UTIE MCHELE. Kobe hugeuka paka, kwa uchungu wa mwanawe, Atoe sumu ka nyoka, kiasi asichezewe, Kama tai ataruka, kwa makucha aparuwe, Tua nasema jituwe, siku zako zimefika. Nasema...
1 Reactions
5 Replies
838 Views
MLEGEZO . 1)wengi japo wanasema,kama umekata gogo. Mabwe pande mji mwema,uliopewa kisogo. Tambua jua mapema,hilo jambo ni kipigo. Mlege wazua tata,utata wenye mashaka. 2)wengine jali...
2 Reactions
1 Replies
940 Views
TANZANIA NAKUPENDA SANA. Mama Tanzania, nakupenda sana, Nakupigania, usiku mtana, Zitaangamia, husuda fitina, Za walo pania, watu kuchinjana Nakupenda sana, wangu Tanzania. Siwati kulia, tunapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
IKULU YA MASHETANI. 1)tutauteka Dunia,milele tutatawala. Nyote mtaangamia,kila kona kila pala. Sana tutawachukia,wale wafanyao sala. ikulu ya mashetani,tutaiteka Dunia. 2)mbona hofu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JOHO LA MWENDA WAZIMU. 1)ukiona hakunacho,usinyooshe kidole. Vidole kile ambacho,vipo kwako siyo mbele. ukisifu kwa kijicho,utalogwa kwa tembele. Joho la mwenda wazimu usivae harusini...
1 Reactions
0 Replies
594 Views
UJINGA WA MWAFRIKA,FURAHA YA MZUNGU. 1)ni uchu wa madaraka,ndio unaotuponza. ama kili zimechoka. tumekuwa takataka,kwa jalala lenye funza. ujinga wa muafrika,ni furaha ya mzungu. 2)wao mbona...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
I wanna learn Hebrew and Lingala. Anyone can help please..
0 Reactions
4 Replies
832 Views
1>mungu akupe maisha,marefu yenye baraka. Lugha vyema wafundisha,twaelewa kwa haraka. Njia umetuonyesha,nasi twapenya kichaka. Pongezi davidi nzela,mema ninakuombea. 2>ushauri na nasaha,zako...
1 Reactions
0 Replies
844 Views
Nipinge kama sio kweli pia like kama nipo sawa lakini hata hivyo mie tangu mwaka jana niliamua kutumia lugha ya kiswahili kwenye simu yangu ambayo muda mwingi ninayo.Je nawe wafanyaje kuokoa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tangazo la mwezi wa 12 la king'amuzi cha Startimes lilikuwa tangazo lililokosa weledi kwenye lugha ya kiswahili na kwakweli linarudisha juhudi nyuma za kukiweka kiswahili kwenye ramani ya dunia...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Amani iwe juu yenu wapendwa wote. mwaka 2016 unahitajika kuwa mwaka wa mabadiliko katika fani ya ushairi Tanzania na Afrika ya mashariki kiujumla. mabadiliko hayo yanakuwa katika vipengele...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hapo zamani za kale, kale ile ya umilele. Kale iliyozama hata isitambulike ilipoanza wala kuisha. Haswaa ni kale ya zama za enzi na enzi. Hapo kale basi, palikuwa naye neno, asijulikane alipoanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna msemo umeenea sana siku hizi utasikia "chandarua chenye dawa" Je hii ni sahihi?mimi kwa ufahamu wangu finyu nilidhani neno sahihi ni "chandarua yenye dawa"naomba mchango kwa wataalam wa lugha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom