Jukwaa la Historia

Wadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
  • Redirect
Miaka ya 1975 na kuendea kuna na kesi ya aliyekuwa mfanyakazi wa Kilimanjaro hotel akiitwa Juma Thomas Zangira. Huyu bwana alishtakiwa kwa kesi ya Ujasusi. Ninaomba anayeijua mwisho wa kesi hiyo...
1 Reactions
Replies
Views
Yoweri Kaguta Museveni alizaliwa 19 September 1944, ni mwanasiasa wa Uganda ambae amekua rais wa Uganda tangia 29 January, 1986. Museverni alijiunga na majeshi ya uasi ambayo yamtoa aliyekua rais...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
FROM HIS OWN WORDS - YOWERI KAGUTA MUSEVENI, the President of UGANDA. " We were gaining ground of Kampala, lead by Colonel Mahfoudh and we three of us, Me, Major Marwa and Major Isonda IN A...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Kumekuwa na shinikizo kubwa sana kwangu kutoka kwa ndugu na jamaa kuwa nijibu maneno ya Yericko Nyerere kuhusu historia ya African Association (AA). Wengi waliomsikiliza Yericko katika kipindi...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
IMESANIFIWA NAMI NDUGU YAKO GOOD BEATUS KALIPUKA.
6 Reactions
23 Replies
970 Views
Historia huwa inapitia msururu mrefu wa matukio.Yapo matukio ambayo mwanzoni huenekana ni sehemu ya historia nzuri lakini kadri muda unavyokwenda watu hujutia historia hiyo na hatimae kuamua...
3 Reactions
19 Replies
414 Views
DAR-ES-SALAAM YANGA AFRICANS YASIMAMISHA MAANDAMANO MSIKITI WA MAKONDE ILIPOTOKA ADHANA Waandamanaji wa Yanga waliokuwa katika maandamano makubwa wakiwa wamebeba kikombe chao cha ubingwa wa Ligi...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
YANGA NA SIMBA UNAZI WA ZAMANI: KISA CHA MZEE MANGARA TABU NA AYUBU KIGURU Nina rafiki yangu anaitwa Kazua leo asubuhi kanipa kisa cha Mzee Mangara Tabu na Ayubu Kiguru. Wakati wa ujana wake...
9 Reactions
39 Replies
5K Views
Polisi kuua raia hovyo Mawaziri na viongozi kufanya na kusema watakacho Jumuiya za kidini kugomea sensa bila kujali Ufisadi wa kutisha nchini unaoendeshwa bila woga Migongano ndani ya CCM kufikia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili sumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
YALIYOPITIKA KIPATA NYUMBA NO. 69 WAKATI WA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA Ndugu zangu WanaGerezani Siku ya Gerezani Day nilikuelezeni kwa muhtasari kuhusu makaratasi yaliyokuwa yakichapwa pale...
1 Reactions
0 Replies
537 Views
Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia. Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais. Kuna...
5 Reactions
195 Replies
8K Views
Ni takribani miaka 44 sasa tokea kuuawa kwa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar marehemu sheikh Abeid Karume. Tukio hilo lililotokea katika ofisi za makao makuu ya A.S.P huko kisiwa Ndui mjini...
45 Reactions
88 Replies
24K Views
Case Study from Tanzania presented at the Pan Africa Land Grab Hearing. - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu hapa nitawaletea matukio yote muhimu wakati wa vita hii ya Kagera. Sio kama mimi ndiye niliyeandika la hasha! Ninachokifanya mie ni kuwaletea hapa kutoka Gazeti la Mwananchi. Kaa nami upate...
18 Reactions
82 Replies
35K Views
Mwene Ngalu(I) mwanamke mtawala wa Kabila la Wafipa ] Makao makuu ya Mwene Ngalu wa kabila la Wafipa yaliyopo mjini Sumbawanga Kitabu kilichoandikwa na Mkuu wa wilaya wa enzi za Ukoloni wa...
2 Reactions
8 Replies
12K Views
Wadau, Naomba mnisaidie hili swala, Hivi Zanzibar kuna makabila kama ilivyo Bara? Na kama yapo ni mangapi.? Kuhusu Lugha Ukanda wa Pwani. Unaposema kabila katika uwanda wa mwambao wa pwani...
2 Reactions
122 Replies
57K Views
Wana JF; Inasemekana Tanzania ina Makabila 126 na katika makabila haya kuna Koo au majina mbalimbali. Je tunaweza kusaidiana kutaja majina haya ya Ukoo au makabila yaliyo Common? Majina ni...
7 Reactions
318 Replies
206K Views
Back
Top Bottom