Nimebaini kuwa watu wanaofanya mazoezi ya viungo huwa wanafurahia usingizi,hii ni kwa sababu viungo vyao huwa laini
Kinyume cha wale wasiofanya mazoezi huwa wanapata shida sana kutokana na kusihi...
Heshima kwenu Madaktari, naomba kujua ukomo wa umri wa mwanamke kuzaa.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33. Nimekuwa na uhusiano na mabinti wa umri chini yangu ila wamekuwa wakiniacha kwa...
Salaaam wana Jf
Ni langu tumaini kwamba mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku. Leo naomba tufahamishane kazi ambazo zinawezwa kufanywa na OLIVER OIL.
Jamani kuna mdudu (anafanana na mnyoo) anaye kaa kwenye mboga za majani pia huyo mdudu hafi kwa kupikwa unashauriwa kuosha mboga za majani kwa chumvi na maji ya uvuguvugu maana ni mdogo anaganda...
Habarini, nimeona niwashirikishe nilichokisikia toka kwa mkufunzi wa masuala ya mahusiano na ngono kama alivyokuwa akitoa semina katika kipindi cha "TED Talk show".
UKWELI.
1. Wale wale walio...
Wakuu habar ya majukumu.
Leo nimejitokeza katika jukwaa hili ili mnipe reasons za kitalaama na hata wenye uzoefu juu ya mkasa huu.
Girlfriend wangu nilikua nae tarehe 12 na tuli sex but kabla ya...
Wasalaam,
Kuna dada ana mimba ina miezi 3 na wiki mbili na hili amelijua siku chache zilizopita kuwa ana mimba na sababu ya kutokujua hadi inafika umri huo ni kwamba na alikua anapata hedhi...
Inapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume na wanasayansi wa kisasa wanakuja na kukubaliana katika jambo moja, ni mhimu kudadisi juu ya jambo hilo. Ingawa nyakati za sasa tunazungukwa na...
Unasumbuliwa na vidonda vya tumbo??? Chukua maganda ya nanasi chemsha yakiwa na uvuguvugu changanya na asali ya nyuki wadogo kunywa. Kunywa mara mbili kwa siku na ufanye ivyo kwa muda wa siku saba.
Habari na poleni na majukumu yenu,
Ndugu zangu nahitaji meno ya bandia, mimi nipo Dar wapi naweza kupata? mwenye kujua yanapouzwa na kubandikwa anijulishe plz!!
Msaada tafadhari nimekuwa nikisumbuka na aina ya vipere ambavyo uniwasha sana baada ya kunyoa nywele,na nahisi vinaongezeka kadri ninyoavyo. Wataalamu ngozi tusaidiane ushauri.
Wanajanvi naomba msaada hivi ganzi kwenye viungo inasababishwa na nini. Ndugu yangu ana tatizo la ganzi kwenye mikono yake na ametumia dawa mbalimbali alizoshauriwa na daktari lakini bado tatizo...
Inafurahisha kuona kuwa wapo wafanyabiashara wengi maeneo tofauti tofauti Nchini mwetu na mitaa tofauti tofauti wanaouza juisi ya miwa.
Kimsingi juisi hii ni sukari halisia ambayo haijachakatwa...
Naomba kuuliza kwa wataalamu wa meno. kuna hili tatizo la meno kufa ganzi(yaani meno kuwa kama yalikula maembe machachu kisha kkuma na kushindwa kutafuna chakula).
Hivi hili tatizo linatibika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.