Ni dawa nzuri sana, mimi natumia ya maji-mafuta ya hizo black seeds, ni dawa nzuri sana unakunywa na kupaka,
Sijajua kwa Tanzania utapata wapi, hope kwenye maduka yanayo uza dawa za kienyeji hasa za Kiarabu au kihindi, mimi nilichukua India
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.