Mabibi na Mabwana,
Ni furaha kuu kwangu kutoa matokeo ya Mashindano ya Kimataifa ya Bao yaliyofanyika tarehe 21-22 novemba, Torino, Italia.
Tumeendesha mashindano ya vilabu, ambavyo kila...
Hatma Ya Kidole Cha Mrwanda Na Okwi Wiki Ijayo
Danny Mrwanda (kushoto) akishangilia huku akinyoosha kidole kilichokuja kuhusishwa na alama ya matusi kwa mashabiki wa YangaThursday, November 26...
Baada ya mwenyekiti wa sasa wa club ya Yanga Imani Madega kusema hatogembea tena uongozi katika club hiyo je kati ya watu hawa nani anayefaa kuwa mwenyekiti mpya wa YANGA?
1-Tarimba Abbas
2-Ally...
Group A (Luanda): Angola, Mali, Malawi, Algeria
Group B (Cabinda): Cote d'Ivoire, Burkina Faso, Ghana, Togo
Group C (Bengela): Egypt, Nigeria, Mozambique, Benin
Group D (Lobango): Cameroon...
SIMBA imeweza kutengeneza historia mpya kwa kushinda mechi zote 11 za mzunguko wa kwanza na kufikisha pointi 33 katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katika mechi yake ya 11 Simba ilipata...
Tumesikia ya YANGA wakenya wote nje, kwa nini? iweje mchezaji awe mfungaji bora msimu uliopita akose hata kufunga goli moja msimu unaofuata. Ndo uchawi kama tunavyoamini sisi waswahili au kuna...
Portsmouth Football Club can confirm that Paul Hart has been relieved of his duties as first-team manager.
The decision has been made reluctantly by the board and is based on results that leave...
LIGI ya Mabingwa Ulaya inaendelea Juma4 na Juma5 huku timu tatu kubwa na maarufu zikiwa katika hatari ya kuondolewa katika michuano hiyo mapema.
Timu hizo, bingwa mtetezi Barcelona, Liverpool...
Thursday Nov 19, 2009
President Jakaya Kikwete lifts the FIFA World Cup trophy at the National Stadium in Dar es Salaam few hours ago. The trophy is on a 52 nation tour of Africa in the run-up...
Ni miezi tu imesalia bara la Afrika litakuwa mwenyeji wa mashindano ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa mnamo mwaka 1936 huko nchini Uruguai.Hakuna utata kwamba mpira wa miguu...
Ombi kwa Mods, kama wanaweza kuunganisaha threads zinazozungumzia mitanange ya maandalizi ya kuelekea South Afrika kwa Kombe la dunia ili tuweze kupata Taarifa za timu mbali mbali zilizokwisha...
World Cup win not impossible for African team, says Weah
By Henrique Almeida
LUANDA, Nov 18 (Reuters) - George Weah, the former world soccer player of the year, believes an African team...
jamani penye wengi habaharibiki neno
kuna movie naitafuta kwa gharama yoyote ile sikumbuki kama jina ni sahihi
kama sikosei ( Crying for Argentina ) Sterring Evita Peron or Eva Peron
ina...
Ras Dumisani had to weather further criticism on Monday over his rendition of South Africa's national anthem, with the Congress of the People calling his performance a "vocal misfire".
"It...
Jana wadau wa soka walishuhudia timu ya Simba ya Dar es Salaam ikimaliza mzunguko wa kwanza wa ligi kuu ya Tanzania bara ya vodacom kwa ushindi wa asilimia mia moja.Simba ambayo imejikita kileleni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.