Kuna watu wanaitwa waswahili, hapa namzungumzia Sadaat na wenzake hawa jamaa walikuwa noma sana katika uandishi sema hawakuwa na bahati albumyao ya Waswahili ilitisha nyimbo kama
Yupi bora kati...
Nilitegemea itakuwa moto wa kuotea mbali zaidi ya kwangaru lakini imekuwa tofauti.
Bora atoe video faster ,nenda YouTube ukapate uhakika.
Ila kwavile ni WCB tutalizimishwa kuzipenda kwa promo...
Naomba kujua,nina muda sasa nashindwa kutumia AzamTv application niliyo download kutoka App store,kila niki download.. nilitaka kuangalia mechi live/ news ina jifunga,nimejaribu kuondoa na ku...
Kwanza wanajamvini niwape pole sana kwa misiba hii mikubwa miwili ya Ruge na Kaka yetu kibonde waliotangulia mbele za haki, mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi,
Katika kipindi hiki...
Siku kama ya leo mwaka 2007 mwanamuziki nguli wa miondoko ya Rege, Lucky Philip Dube maarufu kwa jina la Lucky Dube aliuawa kwa kupigwa risasi
> Tukio hilo lilitokea muda mfupi baada ya...
Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans...
Wakuu kuna huu wimbo wa bendi ya lucky dube wa CELEBRATING HIS LIFE nimeshindwa kujua kitu,hivi ile sauti inayosikika mbona ni ya lucky dube kabisa,na je yule jamaa anaeoneshwa kwenye video kama...
Wadau
kuna wimbo mmoja watiwa kesi ya khanga au monica uliimbwa na huyu nguli au bendi ambayi akiitumikia kama kuna mdau anao au link napoweza download please naomba.
Natanguliza shukrani
Buswelu
Naomba mwana jf yeyote aliye na audio ya wimbo wa dudu baya unaitwa Mwanangu huna nidhamu anisaidie.
Wimbo huu naupenda sana na unanikumbusha miaka ya 90.
Asanteni.
Shirikisho la soka barani ulaya limemaliza utata wa penalti ulitokea kwenye mechi ya mtoano kati ya Man United na PSG na kusema kwamba penalti ilikuwa stahiki.
Mpira ulipigwa na diego dolot na...
RIWAYA: URITHI WA GAIDI.
NA BAHATI MWAMBA.
SIMU: 0758573660
Vitabu vilivyopita.
• Kikosi cha pili
• Dakika za mwisho
• Mpango wa Congo
• Mbwa wa geti
• Operesheni jicho la...
Wakuu mko pow?
Nadhani nipo jukwaa sahihi
Wakuu nimeitafuta hii movie bila mafanikio tafadhali anaye ifahamu naomba aniambie hii movie inaitwaje jina tuu latosha mimi nitaifuta online...
Wadau
Kila mtu ana ladha yake ya movie l,akini itakuwa vizuri tukitajiana majina ya movie nzuri tulizowai kuona na kupendekeza tuzitzame.
Ni vema tusifuate kigezo cha mwaka bali kigezo cha...
ukipita hapa mchana au asubuhi ni frem tu iliyofungwa kama frem zingine za biashara...asubutuuuu
pita apo kuanzia saa moja jioni na kuendelea alafu uone iyo set-up yao utazimia na roho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.