Wakiokuwa wanapiga kelele eti ETV hawachezi ngoma za WCB,hicho kitu hakipo...sasa nguvu ya ETV+WASAFI....Clouds mtaomba poo mwaka huu na roho zenu mbaya.
Muda huu hizi picha ni Ngoma ya Diamond ETV
Mzuqa SIZONJE's slaves!
Kwani crazy GK aliwakosea nini AY na Mwana FA? Walikuaga Benet Sana. Hata kwenye harusi wamemtenga.
Harusi ya AY iliyofanyika Golden Tulip
Wakati style ya kubadili rangi ya nywele zao na kuweka rangi tofauti tofauti ikiendelea ku-trend, Mwana FA hajakaa kimya katika hilo.
Katika moja ya picha za Ommy Dimpoz ambazo anaonekana na...
Leo March 1, 2018 Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 14 na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na...
Nyota wa muziki wa pop nchini Marekani Madonna amesema kuwa mwanawe David Banda atakuwa rais wa Malawi siku zijazo katika ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa Twitter akimsifu mvulana huyo...
Bollywood Super star Sridevi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
=======================================
Muigizaji wa kwanza wa kike kupata umaarufu zaidi kwenye soko la filamu nchini India...
Msanii mwenye kipaji cha kipekee ambaye amegeuka kuwa homa ya jiji Mbosso aka mbosokhan mshedede anakaribisha maoni yako kuhusu muziki wake.
Hii ni baada ya kutoa ngoma mbili official na mbili...
Mamlaka ya mawasiliano
Tanzania TCRA imezfungia nymbo
Za wasa Hawa Kwa kukosa
maaudhui mazur Kwanza hz nyimbo
Zlitolewa mtandaon bla kupelekwa basata
Nawapongeza sana basata na TCRA
Kwa kaz nzur...
"Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) imepokea orodha ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kupiga marufuku nyimbo hizo kuendelea kurushwa katika vyombo vya habari...
Habari wana Jamiiforums?
Leo nimeisikia ile nyimbo ya kipindi cha Watoto Show Radio One, nikamkumbuka yule mtoto aliyeiimba.
Wanaojua yuko wapi na anafanya nini kwa sasa atujuze. Ni hayo tu...
Msanii Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi Certificate ya usajili wa Wasafi TV[emoji342] huko zenji...sasa kuanza kurusha matangazo yake kuanzia kesho...Hongera sana Diamond na timu nzima ya WCB
Baada ya kuvunjika kwa kundi la Yamoto band, kila msanii wa kundi hilo alianza kufanya kazi kivyake.
1. Aslay alianza kutoa nyimbo moja baada ya nyingine kila baada ya muda mchache bampa to bampa...
Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club...
Aliyekuwa mke wa msanii maarufu nchini Diamond aitwaye Zari Hassan amesema yeye na mme wake Diamond wameachana rasmi na kwamba hivi sasa kila mmoja anaendesha maisha kivyake. Source BBC!
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda...
Nimeona picha ya Zari na huyu anayejiita Pedeshee Katunzi, sijui ukweli wake kama hawa wawili ni wapenzi, huenda walikuwa ni wapenzi au ilipigwa kama ilivyo watu maarufu wakikutana pamoja hupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.