Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari wana Jamiiforums? Leo nimeisikia ile nyimbo ya kipindi cha Watoto Show Radio One, nikamkumbuka yule mtoto aliyeiimba. Wanaojua yuko wapi na anafanya nini kwa sasa atujuze. Ni hayo tu...
4 Reactions
65 Replies
31K Views
  • Redirect
Msanii Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi Certificate ya usajili wa Wasafi TV[emoji342] huko zenji...sasa kuanza kurusha matangazo yake kuanzia kesho...Hongera sana Diamond na timu nzima ya WCB
8 Reactions
Replies
Views
Baada ya kuvunjika kwa kundi la Yamoto band, kila msanii wa kundi hilo alianza kufanya kazi kivyake. 1. Aslay alianza kutoa nyimbo moja baada ya nyingine kila baada ya muda mchache bampa to bampa...
0 Reactions
22 Replies
17K Views
Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club...
16 Reactions
124 Replies
25K Views
Aliyekuwa mke wa msanii maarufu nchini Diamond aitwaye Zari Hassan amesema yeye na mme wake Diamond wameachana rasmi na kwamba hivi sasa kila mmoja anaendesha maisha kivyake. Source BBC!
5 Reactions
156 Replies
22K Views
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda...
28 Reactions
136 Replies
14K Views
Nimeona picha ya Zari na huyu anayejiita Pedeshee Katunzi, sijui ukweli wake kama hawa wawili ni wapenzi, huenda walikuwa ni wapenzi au ilipigwa kama ilivyo watu maarufu wakikutana pamoja hupiga...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Natumaini ni wazima Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani Ila...
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Wasalaam Kigali, Rwanda | Liliane Iradukunda has been named Miss Rwanda after the final round of the beauty contest at the Kigali Convention Center on Saturday night. The 18-year-old...
1 Reactions
57 Replies
14K Views
Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainab Abdallah amefunguka na kudai anawaheshimu wanawake wenzake wanaojishughulisha kutafuta pesa kwa namna moja ama nyingine huku akiwataka wasiwape upenyo baadhi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Notebook ya Drake aliyokuwa akiitumia siku za nyuma ipo sokoni, inauzwa $ 54K (121.6 M Tsh) TMZ wameripoti kuwa notebook hiyo ya Drake ambayo alikuwa akiitumia utotoni ina mistari yake, namba za...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Waambie ukweli maana wamezidi
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kiukweli Nilikuwa naona huyo dada wa IG MANGE KIMAMBI ni kama mdada flani hivi anayefanya mambo Pasi na kufikiria, Sana sana nilivyokuwa naona hoja zake zenye mashiko lakini zikikosa...
31 Reactions
209 Replies
38K Views
Dr. Shika ameishia wapi maana toka Lissu apigwe risasi amepotezewa na sijui madada waligundua kuwa mabilion hayapo. Dr. popote ulipo ebu jitokeze uitishe press conference na utangaze kugombea...
2 Reactions
24 Replies
7K Views
KOMBORA KIOTANI-41 BONIFACE BIRAGE TULIPOISHIA DEDANI ANAOKOLEWA MIKONONI MWA WATEKAJI NA SHUNIE ANAPELEKWA SEHEMU YA SIRI NA AFISA HUYO WA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KABAAANG! Wakati supastaa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' akitembea kifua mbele huku akijinasibu kuwa anasubiri kwa hamu kupata mtoto kutoka kwa mchumba wake, Zarinah Hassan ‘Zari'...
0 Reactions
119 Replies
29K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Ee bhana ee yule dada yetu wa taifa komando machozi jide mwenyewe kanishukia kama mwewe huko inster Mimi...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Nyimbo zenyewe ni Far Away ft Vee money,Baila na Kosa Langu....Nikiweka ushabiki pembeni asee,huyu bwana mdogo hafai,hafai,hafai....narudia tena Diamond hafai kwenye kupambanishwa na msanii...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Orodha hii ya video zisizopendwa sana za YouTube ina video za juu 40 zilizo na zisizopendwa zaidi wakati wote, zilizopatikana kwenye chati za YouTube. Hesabu za nyimbo zisiyopendezwa...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kuwepo kwenye matibabu takribani wiki tatu zilizopita nchini India, hatimaye msanii wa filamu, Wastara Juma anatarajia kurejea nchini wiki hii. Habari kutoka kwa ndugu wa karibu wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom