Habari wana Jamiiforums?
Leo nimeisikia ile nyimbo ya kipindi cha Watoto Show Radio One, nikamkumbuka yule mtoto aliyeiimba.
Wanaojua yuko wapi na anafanya nini kwa sasa atujuze. Ni hayo tu...
Msanii Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi Certificate ya usajili wa Wasafi TV[emoji342] huko zenji...sasa kuanza kurusha matangazo yake kuanzia kesho...Hongera sana Diamond na timu nzima ya WCB
Baada ya kuvunjika kwa kundi la Yamoto band, kila msanii wa kundi hilo alianza kufanya kazi kivyake.
1. Aslay alianza kutoa nyimbo moja baada ya nyingine kila baada ya muda mchache bampa to bampa...
Moja kati ya majina makubwa katika soka kutokea ukanda wa Afrika Mashariki basi huwezi kuacha kutaja jina la nadhoa wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayecheza soka la kulipwa katika club...
Aliyekuwa mke wa msanii maarufu nchini Diamond aitwaye Zari Hassan amesema yeye na mme wake Diamond wameachana rasmi na kwamba hivi sasa kila mmoja anaendesha maisha kivyake. Source BBC!
Nahitaji Mtu au Watu ambao wataweza kuratibu vizuri kabisa hili zoezi la kuweza kuchangishana Pesa za Kutosha ili tumnunulie Zawadi kubwa na ya thamani sana huyu Mwanadada ambaye kwakweli nampenda...
Nimeona picha ya Zari na huyu anayejiita Pedeshee Katunzi, sijui ukweli wake kama hawa wawili ni wapenzi, huenda walikuwa ni wapenzi au ilipigwa kama ilivyo watu maarufu wakikutana pamoja hupiga...
Natumaini ni wazima
Katka kitu nimekuj kushanga kwenye hii tasnia ya Sanaa
Yan bila kiki huwezi kusogeza mziki wqko
Kam shabiki wa damu wa mnyama diamond nilifwatia hili jambo kiundani
Ila...
Wasalaam
Kigali,
Rwanda |
Liliane Iradukunda has been named Miss Rwanda after the final round of the beauty contest at the Kigali Convention Center on Saturday night.
The 18-year-old...
Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi. Zainab Abdallah amefunguka na kudai anawaheshimu wanawake wenzake wanaojishughulisha kutafuta pesa kwa namna moja ama nyingine huku akiwataka wasiwape upenyo baadhi...
Notebook ya Drake aliyokuwa akiitumia siku za nyuma ipo sokoni, inauzwa $ 54K (121.6 M Tsh) TMZ wameripoti kuwa notebook hiyo ya Drake ambayo alikuwa akiitumia utotoni ina mistari yake, namba za...
Kiukweli Nilikuwa naona huyo dada wa IG MANGE KIMAMBI ni kama mdada flani hivi anayefanya mambo Pasi na kufikiria,
Sana sana nilivyokuwa naona hoja zake zenye mashiko lakini zikikosa...
Dr. Shika ameishia wapi maana toka Lissu apigwe risasi amepotezewa na sijui madada waligundua kuwa mabilion hayapo. Dr. popote ulipo ebu jitokeze uitishe press conference na utangaze kugombea...
KABAAANG! Wakati supastaa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' akitembea kifua mbele huku akijinasibu kuwa anasubiri kwa hamu kupata mtoto kutoka kwa mchumba wake, Zarinah Hassan ‘Zari'...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ee bhana ee yule dada yetu wa taifa komando machozi jide mwenyewe kanishukia kama mwewe huko inster
Mimi...
Nyimbo zenyewe ni Far Away ft Vee money,Baila na Kosa Langu....Nikiweka ushabiki pembeni asee,huyu bwana mdogo hafai,hafai,hafai....narudia tena Diamond hafai kwenye kupambanishwa na msanii...
Orodha hii ya video zisizopendwa sana za YouTube ina video za juu 40 zilizo na zisizopendwa zaidi wakati wote, zilizopatikana kwenye chati za YouTube.
Hesabu za nyimbo zisiyopendezwa...
Baada ya kuwepo kwenye matibabu takribani wiki tatu zilizopita nchini India, hatimaye msanii wa filamu, Wastara Juma anatarajia kurejea nchini wiki hii.
Habari kutoka kwa ndugu wa karibu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.